Poleni na majukumu ya kila siku.Nilikuwa naomba msaada wa kisheria juu ya uanzishwaji wa kampuni.Kwa yeyote anayeweza kunisaidia katka hili naomba tuwasiliane kwa 0759-835929,au 0717-034065
Walimu wa shule za msingi wameonekana ni waoga sana katika kutetea haki zao,lakini makucha yao yameonekana kwa 30% ya wanafunzi waliojiunga sekondari hawawezi kusoma na kuandika.Serikali iwe makini kwani baada ya ongezeko la ujinga litaendelea kwa kasi kubwa
Wa mtoe kabisa huyo m2 atkiharibu chuo kwani hata UDOM aliyekiharibu chuo na kuwashawishi wenzake wachache wamchangie mkwere ni rais kwani wakati wa likizo alipelekwa china 2 weeks,akaitwa ikulu kupiga stori na mkwere,baada ya hapo akawa hafai kabsaaaa,akandaa mafisadi wachache wamchangie mkwere...
Jamani mi naenda kulala naomba kwa uaminifu,naomba nimjue wa mwisho kulala hapa jf,kama ni wewe kabla hujalala,comment kwenye hii thread,kesho nitaicheki mshindi nitampa zawadi:a s 101::a s 101::a s 101:
kaka ivuga punguza ukali,sio wanafunzi wote tulimchangia form mkwere,ni wanachama wake tu,tena walioko campus ndogo ya informatics ila waandishi wa habari waliikuza tu,kuhusu jamaa kutunukiwa alipewa na washkaji zake kwani viongozi wa juu kuanzia chancelor na ma-deputy wake ni wanaccm wenzake,na...
tumepondana kwa itikadi,za KISIASA na DINI tumeona haitoshi sasa tunapondana KIELIMU,kweli huko mbele tutalipoteza taifa na sijui hata maofisini tutabaguana kati ya watu waliosoma UDSM na UDOM,ila namshukuru MUNGU na degree yangu ya BEDCOM kutoka UDOM,
iko siku hata mimi kauzu wa watu nikija kuwa maarufu niko na mishemishe yangu jukwaani bahati mbaya katika kuongea vidole vikajikunja kiasi mtasema ooh kauzu devil worshiper
ok,mi ndio nilikuwa napenda iwe hivyo na mahasira yake ya maamuzi yasiyo na logic atakutana na damu changa kama G.LEMA,MNYIKA,na mzee wa kazi AIKAELI MWANA WA MBOWE,duh kazi anayooooooooooooooooo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.