Search results

  1. E

    Makinda apigilia msumari wa mwisho jeneza la Pinda

    Na iwe kweli kwa msaada wa Mungu! Ardhi ya Tanzania ikawe moto mkali kwa kila mlafi anayejilimbikizia mali na kusahau wavuja jasho na Wasakatonge!
  2. E

    Msaada: Kilimo cha Matango, Utaalam na Masoko

    Wadau jitokezeni niwahi shambani.
  3. E

    Mwandishi TV1 Arusha anaongoza kwa kuomba pesa kwa viongozi

    Nilikuwa napita tu! Nimeiona lakini labda ni k...w×××l!!!!!!. ok. sijui nikikutana naye nitamuuliza.
  4. E

    Msaada: Kilimo cha Matango, Utaalam na Masoko

    Poleni na majukumu wakuu wa jamvi hili maridhawa. Naomba mwenye utaalamu juu ya kilimo cha matango anisaidie kujibu hoja zifuatazo: 1. Mbegu kiasi gani zinatosha heka moja. 2. Spacing yake kwenye upandaji ikoje? 3. Msimu mzuri wa kulima matango ni upi. 4. Mahitaji muhimu. 5. Wastani wa...
  5. E

    Kilimo cha matikiti maji (watermelon): Ushauri na Masoko

    Ahsante Mkuu nimepata kitu kutokana na maelezo yako. Je, Arusha pia huu msimu wa Novemba - Februari unafaa? Ni eneo la Nduruma lenye joto kiasi kuliko maeneo mengine ya Arusha.
  6. E

    Bwana harusi aingia Mitini, Ndoa yabuma

    Kwa mujibu wa sheria ya ndoa ya mwaka 1977, hata angekuwa na miaka 14 na ameridhia pamoja na wazazi wake haina shida. Lakini kama kweli ni mwanafunzi kuna sheria nyingine inamzuia kabisa kuolewa.
  7. E

    Ni aibu kubwa jiji la arusha kukosa stand ya mabasi madogo (daladala)

    Mkuu kuhusu maeneo ya kupumzikia, yapo. Mfano mzuri ni eneo la mbele ya Palace hotel au ofisi ya mkuu wa mkoa, pia nyuma ya kanisa katoliki St. Theeresa na viwanja vya Gymkana. Labda we ulidhani utashuka stendi tu uone kila kitu. Ukija tena tutafute sio kulaumu tu.
  8. E

    Nape na Mnyika on ITV - 31/7/14 saa moja jioni

    Naangalia! Dah! kweli siasa nouma!
  9. E

    Ninasoma kidato cha sita CBG ninaweza kusoma udaktari?

    Soma bila wasiwasi tena kwa bidii sana! Masomo ya muhimu kwa Udaktari hapo ni Biology na Chemistry. so kama ndo ndoto yako hiyo uko sawa mdogo wangu! We panga tu A na B, utaniambia. Kuna siku nitakukuta KCMC au Muhimbili.
  10. E

    For JamiiForums Mobile users

    COLOR=RedUmeweza/COLOR
  11. E

    Vyakula Unavyotakiwa Kula kila Siku Kwa Afya Yako

    Ahsante! ila kuna huyu samaki anaitwa Salmon, kwenye mazingira ya kibongo anaitwaje, na anapatokanaje?
  12. E

    World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

    Kombe linaenda Argentina, so jiandaeni kuwasaidia Wajerumani kulia. Maana sisi muda huo kilio chao hakitatuhusu.
  13. E

    Nimetokewa na mauza uza kazini kwangu, naomba ushauri

    Fanya maombi mara moja huyo ni jini. omba sana pia shirikiana na wanamaombi.
  14. E

    Jinsi ya kutumia internet bure Android

    Dah! pole. Basi hiyo huduma imekubagua. Tatizo sio simu ni wewe so kubaliana na hali.
  15. E

    Je kuna maelezo ya kisayansi?

    Labda ungesema kisaikolojia. Yaani una uwezo mkubwa ku-accept reality.
  16. E

    jamani mimi nimehamia tigo toka airtel

    Uko sawa mkuu. Airtel siku hizi wako hoi kabisa. Mtandao haushiki, wamekazana kuimarisha maduka. wakishafukuza wateja watauza nini kwenye hayo maduka ya kisasa?
  17. E

    Matumizi ya 'S' na 'X'

    Mi naona ni utoto, ushamba na ulimbukeni.
  18. E

    Kitabu gani ambacho kimewahi kubadilisha maisha yako na unatamani wengine tukisome?

    Kwanza kabisa Bible, then vitabu vya kawaida ni "Rich Dad Poor Dad" cha Robert Kiyosaki
Back
Top Bottom