Hi!
I need some few volunteers who will be putting adverts on mnadan dot com website anywhere in the United Republic of Tanzania. It goes without saying that any who volunteers will be paid 500/- per each advert put online the sum 100,000/-will be collected after a volunteer reaches that...
Wajameeni kila nikitazama hiyo picha jicho langu linatua sana kwa huyu dada mwenye gauni lenye rangi za blue/zambarau na nyeusi upande wa kulia, Hivi kuna nini kati yetu? maana kila nikikwepesha wapi linarudi pale pale.
"Aliwaonya wabunge kwamba hatakiwi kupeleka ndani ya bungeni hoja zenye maslahi binafsi au kwa kutumiwa na mtu au vikundi vya watu na kusisitiza kuwa wapeleke bungeni hoja zinazotoka katika majimboni yao."
NAFIKIRI KWA KUWA BUNGE NI NATIONAL ASSEMBLY WABUNGE HAWAPASWI KUWA LIMITED KWA MASWALA...
"Two drawn games=One drawn game + one lost games = four point lost out of maximum six???"
Mimi ni shabiki wa kandanda ila tafadhari Fafanua/rekebisha vizuri hapo sijaelewa bado.
Karibu, Tanzania yetu inatuhitaji sote kwa pamoja tujumuike kujenga jamii imara ya kiraia. Mchango wako ni wa muhimu kufikia azma hiyo.Jitahidi tumia vizuri nyezo zilizopo kufanikisha Karibu sana.
Kazi zipo nyingi tu ndugu.Ila sijui kama umehitimu tayari ktk huo mchepuo au la, unampango wa kuendelea nao. Kama upo skuli pull up ur sox kuna fani nyingi professional zinahitaji watu wa arts km ww mfano mamboya maendeleo ya jamii vijijini jinsia km maths umo kiasi fln safi sana ukitaka uchumi...
Hilo ni suala la perceptions(mitazamo) kwa watu tofauti wapo na mitazamo mbali mbali. Kwa hiyo jibu ni subjective yes/no. Licha ya hivo nafikiri kuna limits. Kuna mtalaam 1 alisema !st condition of freedom is its limits.
Kwa kuwa umezungumzia formula mind u hata kwenye numerical analysis ambapo...
Sijui ni nature ya mabadiliko ya kimazingira au nn? Ila Mwl wangu wa Bios alishanieleza kw sehem ya ubongo wa kati kwa malediez inayoshughulika na mapoz ipo veri active na ndio maana wakikina dada huzungumza zaidi kwa vitendo km hivo, kanga moja pedo pusha n.k yote hayo ni mavazi, msg sent...
Natumai wtz watendeleza uvumilivu kiasi lakini siku ipo si mbali tutashuhudia mabadiliko. Swala la kuchaguliwa mwanamke km ambavyo wadau wamelizungumzia linakuwa si ishu, Isipokuwa tu linapohusishwa na msukumo wa baadhi yao(kutaka kudhibiti bunge lisifanye kwa ufanisi kazi yake ya...
Panapofuka moshi....?Tahadhari kabla ya hatari. Sivema kukataa kuhoji juu ya hali ya tashwiswhi iliyotanda wkt huu. Endapo tutafanya hivyo tutakuwa tumeingia chaka ambalo logic huita "Fallacy of denying the hypothesis" maana wapo ambao wanajihami kwa kuthubutu kudai ushindi ni lazima, nyingine...
Napendekeza vyombo husika Nec, Ofisi ya msajiri wisijepuuza taarifa hiyo kuepusha nchi yetu na migogoro . Naomba kuweka msisitizo kwamba viongozi wa taasisi husika wasije fanya makosa au mzaha. kwa hali ya mambo inavyoonekana ni muhimu kwao kuchukua hatua stahiki mfano kuunda tume huru ya...
Dear JF members-ladies and gentlemen, I am the newcomer to this forum. I am glad to have this opportunity to introduce myself to you. I am Mr. Pacemaker.
For the past several years that the gracious Almighty one in Heaven has let me enjoy his beautiful creation on the land I have been and...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.