Ni aibu kwa mtu mwe ufahamu mkubwa,kutumia akili kubwa kujibu jambo la zama za kale za mawe,pole kwa kuwa kinyumba cha pili cha mtu,endelea kujifariji kuwa kuna raha huko,maana hata mashetani kuwa motoni hujifariji kuwa ni raha,
The Tomorrow People
Hivi kuna pahala ktk maelezo yng nimetetea jambo hili?,soma vizuri nililoandika soma bila kusukumwa na hasira ya huyu ndg yako kuwa mtoto wa padri,hivi kusema kuzini ni dhambi ni kumtetea?,au ulitaka tutoe matusi ndo muone tunakemea,unaongea habari ya adhabu unejuaje km...
Padri kuzini ni kukiuka kiapo chake cha maisha ya useja,ni dhambi sawa na mwanandoa kuzini nje ya ndoa ni kinyume cha kiapo chake cha ndoa,ni dhambi,pia ni sawa na mtu yyte Anaezini, na hata mlooa au kuolewa bila ndoa ni wazinifu tu,hata ww ulozaliwa na wazazi ambao hawajafunga ndoa ww ni mtoto...
Kwa hiyo mkuu unataka kutuambia unawajua mapadri woooote kiasi unasema wote wanazini?,km kweli unawajua mpadri wote na tabiA zao dunia nzima basi unafaa kujiita nabii na fungua kanisa,hv hawa waume za watu wanaozini nao ni mapadri,punguza chuki,hakuna faida unapata kwa kusema uongo,sana sana...
crabat
Hv yule nabii wenu alo na kashfa ya kuvunja ndoa ya muimba gospel songs nae ni padri,au hajaoa?,unataka kusema hakuna wachungaji wenye wake wanaofanya uzinzi,na hakuna mashekhe tena wenye wake watatu na bado wanazini nje ya ndoa zao?
Uzinzi ni tabia ya ndani ya mtu na haisababishwi na...
Wapo walojifanya matowashi kwa ajili ya mungu,
Hayo ni baadhai ya mistari inayoongelea kuhusu kutooa,inakuaje useme ni agizo la kidunia,soma vzr maandiko utajua,paulo mwenyewe aliandika ni afadhari bikira akae km alivo bila kuoa,na akawasihi wanaume kuwa ni bora kutooa km yeye alivo iwapo mtu...
Nakuunga mkono mdau,wabongo gunaongea sana hasa mambo ya kijinga kuliko kuongea sana katika mambo ya ukweli,kwa jinsi hali ilivo sasa hakunantofauti kati ya wanaume na wanawake,tunavaa sawa,tunaongea na kufikiri sawa,na baya zaidi tunamajungu sawa,aibu,hiki ni kizazi cha hovyo kuliko vizazi...
Faiza foxxxxy una kipaji kikubwa sana,sema labda haujakijua au unakijua ila unakitumia pasipo stahili,
Unakipaji cha ujazaji chuki kwa wavivu wa kufikiri,kipaji hiki kinafaa sana uwe mkufunzi ktk makundi ya kigaidi na kwe makundi ya wabaguzi,hii italeta ufanisi sana ktk makundi hayo nlotaja,hebu...
Kwanza jiulize unahela ya kununua gari?,bila shaka unayo ndo maana ukasema,pili jiulize unahela ya kulimudu gari kiuendeshaji?,isije fika mahala ukaanza hadi kutumia hela ya mambo muhimu ktk kufanya gari liwe barabarani,watoto wasije punguziwa matumizi ili tu gari liwe barabarani,naamini uko...
Jambo lolote ambalo mungu kakataza jua linamadhara makubwa hata km wataalamu wa dunia watasema linafaida,makatazo ya mungu ndo dira na salama ya afya zetu, akili na roho
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.