Kuna Uzi nimeutoa juzi kati, mmmh aliyeanza ni majonzi jamaa ana elements za kichawi, alichokomenti hadi wamefka 20 wanarudia kile kile najiuliza kwani wote hawakuwa na akili ya kupambanua mambo ila nimekuelewa ntakuwa Nawatag kabisa wasianze Ku komenti
Yawezekana ni kweli lakini nachokijua Mimi kuhusu Mungu aliye hai, ni kwamba kizazi ambacho hakuwa na makusudi nacho yaan yeye wala mjukuu wa hicho kizazi hutamsikia kwenye neno lake ambalo ni mpango wake.
Adamu amezaa watoto wengine baada ya Abel na Kaini lakini hawatajwi anatajwa Sethi, yes...
@Mshana_jr naomba uni tag kwa hiyo mada...Nina nguvu Fulani ya kuzalisha majawabu na ndoto zangu huwa zina tafsr halisi na huwa zinatokea....hii nguvu ni kama cijajua how to control it....Nina uwezo wa kumlazimisha MTU kufanya jambo lolote ambalo ni baya kwangu.... Kupitia hilo somo ntajitambua...
Hao wote mnaowasema bado sana....kuna jamaa yaan vyote yeye ni best of the best, master of masters...
Alikuwa daktari mkuu,
Alikuwa hakimu mkuu,
Alikuwa mwalimu kuliko,
Alikuwa genius mkuu,
Hakuna mtu atazaliwa awe na hata 1% ya kufanana nae....JESUS. Ni hatari
Neno la Mungu li hai.....
Neno la Mungu ni maji ya uzima...
Neno la Mungu siraha juu ya uovu wenu...Ulimwengu utatoweka lakini neno la Mungu lipo milele na milele hata litimie.....
Biblia imeitabiri quran kama kitabu cha uongo pia limetimia.... Kwa msaada wa warumi ndo uislamu husioweza kusimama...
Naskitika wote waliotangulia hawajuhi hiki kitu,
Jicho la tatu ni uwezo unaozalishwa na MTU kuona yasiyowezekana kwa hali ya kawaida kuwezekana, au
Ni nguvu ya kuzalisha majawabu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.