Yamkini yanaweza kuwa malipo ya dhambi ya Uzinzi. Ndipo tunasema mwenye ufahamu atape kufahamu ya Shamba Mungu anaposema dhambi ndani kuna mauti na uhalibifu ndo kama hivo. Rest at the place You deserve for your after life home
Asante kwa uchambuzi, ila Mimi Naona ameenda ili amkwamue mkwewe aliyekuwa lockup aachiwe huru. So Kuondoka kulikuwa motivated na family matters than political issues. On top of that mi naona pia uwepo wao upinzani uliwafanya watawala kuongeza mbinyo wa kuwadhibiti upinzani kwa kuwa walijua...
Na wewe unatakiwa uongee kwa ustarabu ungekuwa unajua principles za taxation?? Kwanza kwanini waweke flat rate. Halifu sio lazima kila mtu alipe Jodi directly kodi zingine zinatakiwa ziwe za ku encourage busineses and Investments. Mi naona hapa uchaguzi umekaribia, zinatafutwa Fedha za chama...
Shetani Siku zote ni mjinga Na mpumbavu saana. Na ufahamu wake ulishatiwa giza na wala huo ufahamu hauoni, hausikii, kwa jumla hajitambui na wafuasi wake wapo hivyo hivyo!!! Kwasababu hiyo always he saws seed of its own destruction. Mfano kwa sisi Wakristo, shetani kupitia magent wake alidhani...
Mpinga kristo atainuka na kuwatesa wafuasi wa Kristo Yesu Mwokozi wetu, je mpinga kristo ni dola la......... Litakalo tokea????? Kama ni ndiyo basi hata sasa......... Ni wapinga kristo aka wakala wa shetani
Yamkini na wewe umechanganyikiwa na unakichaa, Ila hujijuii kwa kuwa umekuwa westernized. Una ufahamu ila Nina wasi wasi Hufahamu kwakuwa huo ufahamu ulisha tiwa Giza wala hautaki kufahamu.
Kosa kubwa/ufahamu finyu kabila za watu wanafanya, wanaiangalia Israel kwa jicho La kisiasa Tu,lakini wangeangalia historia Na kidini wangejua mengi ikiwemo hili Zekaria:12.2
Angalia, mimi nitafanya Yerusalemu kuwa kikombe cha kuyumba-yumba kwa watu wa kabila zote, wazungukao pande zote; tena...
Na Wewe achana Na huo unaouita utalaamu, ambao basically ni mitazamo iliyopandikizwa Na hao wanao shadidia ushoga. Laiti ungejua tafiti zina favour mfadhili yamkini ungetambua kuwa hata huo utaalam wako ni vapour/ ni ubatili mtupu. Wewe ndo una facts batili Kabisa tena POTOFU kuu. Yamkini we...
Bibilia ilishamaliza Kila kitu kuhusu ushoga Na usagaji. Angalia Warumi:1.18
Kwa maana ghadhabu ya Mungu imedhihirishwa kutoka mbinguni juu ya uasi wote na uovu wa wanadamu waipingao kweli kwa uovu.
Warumi:1.19
Kwa kuwa mambo ya Mungu yanayojulikana yamekuwa dhahiri ndani yao, kwa maana Mungu...
Nina wasi wasi kama unasoma biblia, walivuka Jordan ndo maji yaligawika. Walipokuwa wanavuka bahari ya Sham sanduku lilikuwa halijatengenezwa.soka Kitabu cha Kutoka agano la kale
Whites are very intelligent, wanatengeza vitu visivyokuwepo na kuzitwist akili za watu kuvione kama vipo huku waki- infiltrate ajenda zao like ushoga nk kwa hao watu huku akili zao zikiwa fungwa zisitambue hilo. Mungu awa rehemu.
Kama sio mvivu wa kusoma na kama unataka kuijua kweli ambayo hiyo kweli itakuweka huru kutoka kwenye hilo mbandiko lako, Soma kitabu cha Warumi utapata ufahamu.
[QUOTE="real G, post:
Zekaria:12.1
Ufunuo wa neno la Bwana juu ya Israeli. Haya ndiyo asemayo Bwana, azitandaye mbingu, auwekaye msingi wa dunia, aiumbaye roho ya mwanadamu ndani yake.
Zekaria:12.2
Angalia, mimi nitafanya Yerusalemu kuwa kikombe cha kuyumba-yumba kwa watu wa kabila zote...
Asubiri, awe na imani Mungu anajibu maombi hachelewi wala hawahi. Bwana wetu Yesu Kristo wa Nazareth alisema mmepokea bure toeni bure. Na pia neno la Mungu linasema watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa. Tafakari kabla ya kupost hapa. Japo wewe unamsema nabii lakini indirectly unamsema mdogo...
Raisi naye ni mwanadamu , lakini Kama Gwajima ni mtumishi wa Mungu na sisi tunaamini kuwa Mungu hukaa ndani yetu he si zaidi sana kumuamini mtumishi wa Mungu
Ni ajabu na vibaya mtu kutoa kauli kama hii hadharani hasa kwenye hili jukwaa. You looks you're not a critical thinker kwanini uwatuhumu watanzania wote??? Kibaya zaidi yamkini na wewe ni mtanzania kwa hiyo na wewe ni wa ajabu ndo maana umeleta post ya ajabu, Sema wewe ndo wajabu lakini sio...
hata hizo unazo dai scientifically na factual pia ni fubricated. nani asiye jue kuwa studies nyingi zinakuwa fubricated kutimiza malengo ya funder? story za bible are absolutely correct?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.