"F malisa" hivi si watumie hata historia ku analyse mambo, hivi unyumba wa mandela ulikuaje?, hivi wa2 kama kina bill klinton na kashfa zao za mahouse girl ziliathiri vipi utendaji wao?, hivi zuma anao wanawake wangapi hadi wengine anasaidiwa na walinzi, lini ameharibu kwa sababu hiyo?, Hivi...
Jamani nimelazimika kuandika haya baada ya kufutlia ahadi za wagombea nyazifa mbalimbli katk uchaguzi ujao.
Nilichogundua ni kua bado wananchi wengi wengi haswa wa maeneo ya vijijini hawajui nin maana ya ahadi. Mfao kuna jimbo moja lina barabara ya vumbi tupu toka miaka ya uhuru, lakini kila...
bro unajua jeshi linamsalute amrijeshi mkuu, af pia hata jeshi lina kashfa(kumbuka ishu ya meremeta, so inabidi hapa lisapot atlist kipropaganda ili chama cha amri jeshi wa sasa kishinde na wao wazidi kua pema. manake kama sivyo sasa kikiingia chama CHA DAKTARI SLAA si watawajibishwa!
asa kama huu sio wehu, we njiwa ni maendeleo gani unayodumisha ndani ya ccm? hvi watu kama niny mnafanya hvyo mnavyofana kwa utashi wa akili zenu au mmelogwa? aukuna external forces?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.