Juma pili ya leo nimepanda Daladala T784 DJQ kwa usajili number S108078G kwa Safari ya Makumbusho to G/mboto (kwa mujibu wa tickets). Safari yangu ikianzia Mwenge kwenda G/mboto .
Muda mchache kupita nikiwa ndani ya daladala Yakaanza mabishano Kati ya Konda na mzazi alie tokea Kanisani...
Yeah hongera kwa Kuliona hilo mkuu! Naomba niongee! Dumila ndio itakuwa njiapanda mpya ya kwenda Iringa muda si mrefu tukielekea kusitisha barabara kuu inayopitia Mbuga ya Mikumi kutokea Moro kwenda Iringa na mbeya pia Dumila iliyo ndani ya Wilaya ya Kilosa ina maeneo mazuri ya kilimo kama...
Hahahaaaa haina ukweli wowote maana hakuna ushahidi wa Kisayansi ! Pia babu Yangu enzi za ujana wake alikuwa mlinaji asali Mashuhuri na moja ya njia walizotumia kulina Asali miaka hiyo tena mchana kweupe ili asing'atwe na nyuki alikuwa anavua nguo zote na kuchukua asali ya ziada iliyo ndani...
Mtoto mzur Jojo! Daaah hii Couple ya kiba na huyu manzi ni moja ya Match nilizo zitamani ziendelee daima! Kiba hapa amepoteza mtu ambae alikuwa anamfaa sana . Namshauri jojo afanye mambo yake tu kwa sasa huku kulilia penzi waziwazi kutazidi kumshusha hadhi yake
Yes wew genius mkuu! Baada ya hapo hawezi kkuuliza tena mpaka a day mna meet face to face huwa ndio inakuwa hivyo! Na siku mkikutana akirudia swali hilo wala usimjibu muangalia machoni kwa sekunde 5 mpaka 10 bila kuongea chochote wala kupepesa macho then mjibu hivi ! Call her name like...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.