mnajua kuwa Halima mdee ambaye ni mbunge wa Chadema ni muasisi wa Taasisi hii? iko Mikocheni.imeundwa mwaka jana.hivyo basi kuna Conflict of Interest. Halima ametumia Influence yake kumjenga kisiasa Bosi wake.mimi siamini matokeo haya.
Nimekuwa nikisoma gazeti la Raia mwema kwa muda kuna mtu ameamua kubadili jina lake na kutumia jina Msomaji Raia ili kumshambulia Rais Kikwete.mtitiliko wa maandishi yake hautofautiani na mwandishi mwingine wa gazeti hilo ambaye agharabu kwenye makala zake za kila wiki kutomshambulia JK na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.