Mjomba Mkude,
Wametudhalilisha sana tunaosoma elimu za juu,kama ndo hivyo mwanangu akimaliza F4 anaomba Nazi kabisa kwa GPA 3.0 ya Arts. Mnaonaje wadau!
Gari matunzo,kama unataka GARI imara kanunue Land cruiser 1hz,usahau shida. Spea za runx/Alex zinaingiliana na ist/vitz/ist/funargo tofauti ni taa,vioo,sitemirror na dashboard. Hivyo nakushauri kanunue tu.
Ilishantokeaga miaka 4 iliyopita nikiwa ndo naanza kazi. Demu angu aliaga kuwa nataka kwenda Kisoma akawa anaishi kwa dada yake,alianza kubadilika taratibu baada ya miezi 4 nikimpigia nakuta simu yake inatumika zaidi ya nusu saa na nikipiga hapokei na akitaka kupokea ananiambia nilikuwa naongea...
Kama ndo Mara ya kwanza kutolewa bikra na Huyo mwanamke,au ww ndiye uliyemtoa bikra,ukienda huko utakutana na misumari zaidi yake. Pili ww ndiye mwanamme lazima uchakalike mwishoni utakuwa bushoke. Jitathmini na ondoa kauli take eti bila yeye huwezi ishi.
Tatizo lao,wanaendeshwa na nguvu za siasa,taratibu za jkt si lazima uajiriwe na serikali. Waache waandamane wataisoma namba. Waliopitia taratibu za ajira baada ya kumaliza mafunzo inakuaje.?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.