Kijana wetu kuna page imempasua kwa kujikweza utajiri kumbe anapiga saa fake ,
Be humble, haya ndio mambo yanachangia Mpaka kushabikia madikteta ili ku maintain maisha ya juu kumbe unaweza kuishi kawaida na watu bado wakakuheshimu
Nina Swali la kumuuliza Job:
“Condom inatumiwa baada ya mimba kuingia?”
Hizo taratibu zake anazitunga baada ya miezi 6, mimba ni pevu? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ni mambo ya KITOTO!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.