Naomba nipate kujua tatizo ni nini kwani tangu tarehe 24 Januari 2020 ,walifanya survey kwa ajili ya kupewa bili ya kulipia umeme,lakini mpaka leo sijapewa hiyo bili ili nilipie ,ninaitwa bupe john namba yangu simu ni 0753 26 34 52 ,eneo lilipo ni Isyesye Mbeya. Tafadhali naomba kujulishwa kama...
Wanakuja kama vibarua kwenye mashamba ya watanzania hivyo ndivyo nilivyoelewa mimi, si kwamba wanapewa ardhi walime kwaajili yao; labda tuwahimize uhamiaji kufanya ufuatiliaji wa hali ya juu kuhakikisha vibali vitumike kwa malengo kusudiwa na pia muda wake ukiisha mhusika afanye maombi upya au...
mawazo ya namna ya malilambwiga ,nchi haiwezi endelea. ukiangalia jeshi la polisi limeshindwa kutekeleza mambo mengi kwa weledi na kuna tatizo kubwa la rushwa pamoja na kuanzisha madawati mengi lakini bado hayajawasaidia wananchi .uhamiaji inahitaji kuboreshwa kwa kuweka kiongozi madhubuti...
TIDO ni mtu makini na mwenye kuijua tasnia ya habari vizuri,pamoja na mkataba wake kwisha lakini kilichomuondoa pale tbc ni kipindi cha jimbo kwa jimbo kwani kiliwaumbua wengi kwa kushindwa kujibu hoja za wananchi.
du, karne hii bado mtu unafikiria habari kijiji na uchawi,umefirisika kimawazo kwelikweli,wenzako tunawaza jinsi ya kufanikiwa wewe unawaza uchawi, mchawi wa maisha yako ni wewe mwenyewe.wacha wanambeya tufurahie maisha yetu,chakula tele,huduma za jamii zakutosha, hata wewe mwenyewe tunakulisha...
hostel hazitoshi,jiandae kupanga uraiani tu,vinginevyo uweke booking ya mapema.usihofu mambo yatakwenda ili mradi uwe umejipanga vzr kwani ada yake ipo juu
si kweli watu mnatakiwa kuomba kama una au mna sifa stahiki,hayo maneno kwamba wanasubiri kwenda CCP au tayari wamepewa ndg zao ya wale waliokata tamaa.pambana mpaka tone la mwisho.ukiitwa kwenye USAILI jina gazetini na kwenye website yao
inatisha sana,kwa namna hii,tunadhalilishwa sana wazazi na tangazo,laiti ningekuwa mkoma tcra ningejiudhuru haraka sana ama kuliban hilo tangazo haraka sana
napata shida sana na jina la benki hii eti ya makabwela wakati huduma hazitolewi ipasavyo kwa makabwela.mfano kuna baadhi ya wateja wanakuta pesa zao zimepungua kwenye akaunti zao,NMB KIBONDO rudisheni pesa za wateja kwenye akaunti zao.pesa za makabwela mnaiba kwenye akaunti zao MUNGU ATAWALANI
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.