Search results

  1. S

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Nilituma kwenye email ya meneja wa tanesco mkoa wa mbeya Sent using Jamii Forums mobile app
  2. S

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Mkitumiwa email huwa hamjibu, sasa sijui ni aina gani ya email unayoizungumza leo Sent using Jamii Forums mobile app
  3. S

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Naomba nipate kujua tatizo ni nini kwani tangu tarehe 24 Januari 2020 ,walifanya survey kwa ajili ya kupewa bili ya kulipia umeme,lakini mpaka leo sijapewa hiyo bili ili nilipie ,ninaitwa bupe john namba yangu simu ni 0753 26 34 52 ,eneo lilipo ni Isyesye Mbeya. Tafadhali naomba kujulishwa kama...
  4. S

    Uhamiaji kutoa vibali maalum kwa Warundi waje kulima Tanzania

    Wanakuja kama vibarua kwenye mashamba ya watanzania hivyo ndivyo nilivyoelewa mimi, si kwamba wanapewa ardhi walime kwaajili yao; labda tuwahimize uhamiaji kufanya ufuatiliaji wa hali ya juu kuhakikisha vibali vitumike kwa malengo kusudiwa na pia muda wake ukiisha mhusika afanye maombi upya au...
  5. S

    Waziri wa Mambo ya Ndani, Uhamiaji wanakuhujumu!

    mawazo ya namna ya malilambwiga ,nchi haiwezi endelea. ukiangalia jeshi la polisi limeshindwa kutekeleza mambo mengi kwa weledi na kuna tatizo kubwa la rushwa pamoja na kuanzisha madawati mengi lakini bado hayajawasaidia wananchi .uhamiaji inahitaji kuboreshwa kwa kuweka kiongozi madhubuti...
  6. S

    Ugonjwa huu umeisha au umejificha?

    ugonjwa huo unamla taratibu na mwisho wake ni ugumba au utasa,kisha anaanza kutoa lawama kwa mwenza wake
  7. S

    Tido Mhando alishindwa vipi TBC? Je, ataweza Azam kwa Bakhressa?

    TIDO ni mtu makini na mwenye kuijua tasnia ya habari vizuri,pamoja na mkataba wake kwisha lakini kilichomuondoa pale tbc ni kipindi cha jimbo kwa jimbo kwani kiliwaumbua wengi kwa kushindwa kujibu hoja za wananchi.
  8. S

    Haka ka'ugonjwa ni kwa wanawake wote au wangu tu?

    ni kweli hali ipo nami nishaiona na kujitahidi kulifanya au kumweleza kila inapotea tena kwa upole
  9. S

    Jiji la Mbeya kama kijiji

    du, karne hii bado mtu unafikiria habari kijiji na uchawi,umefirisika kimawazo kwelikweli,wenzako tunawaza jinsi ya kufanikiwa wewe unawaza uchawi, mchawi wa maisha yako ni wewe mwenyewe.wacha wanambeya tufurahie maisha yetu,chakula tele,huduma za jamii zakutosha, hata wewe mwenyewe tunakulisha...
  10. S

    UNIVERSITY OF ARUSHA (UaA)

    hostel hazitoshi,jiandae kupanga uraiani tu,vinginevyo uweke booking ya mapema.usihofu mambo yatakwenda ili mradi uwe umejipanga vzr kwani ada yake ipo juu
  11. S

    UNIVERSITY OF ARUSHA (UaA)

    certainly,wholistic education but struggling is needed much
  12. S

    UNIVERSITY OF ARUSHA (UaA)

    welcome UoA where u can get a wholistic education,balanced spiritually and physically.karibu sana UoA
  13. S

    interview uhamiaji.

    si kweli watu mnatakiwa kuomba kama una au mna sifa stahiki,hayo maneno kwamba wanasubiri kwenda CCP au tayari wamepewa ndg zao ya wale waliokata tamaa.pambana mpaka tone la mwisho.ukiitwa kwenye USAILI jina gazetini na kwenye website yao
  14. S

    Kuhusu arusha university

    ndugu yangu,ada imepanda kwa kiasi gani yaani imekuwa shilingi ngapi kwa undergraduate?kwani nimeomba ktk chuo hicho,kozi bba in office & hrm
  15. S

    Ya ITV & RFA NA TANGAZO LA KULAZIMISHA NGONO...

    inatisha sana,kwa namna hii,tunadhalilishwa sana wazazi na tangazo,laiti ningekuwa mkoma tcra ningejiudhuru haraka sana ama kuliban hilo tangazo haraka sana
  16. S

    JAJI wa MAHANGA hakuwa na jinsi...

    pamoja na kushina kesi hiyo,je wananchi wa jimbo la segerea wao wanasemaje?2015 hapatoshi hapa TZ
  17. S

    Huduma zisizorizishwa na Benki yetu ya makabwela NMB

    napata shida sana na jina la benki hii eti ya makabwela wakati huduma hazitolewi ipasavyo kwa makabwela.mfano kuna baadhi ya wateja wanakuta pesa zao zimepungua kwenye akaunti zao,NMB KIBONDO rudisheni pesa za wateja kwenye akaunti zao.pesa za makabwela mnaiba kwenye akaunti zao MUNGU ATAWALANI
  18. S

    Ipi haki ya wanafunzi hawa?

    kweli tutafika namna hiyo?au ndio wanataka watu tupate supp nini?
  19. S

    Ugonjwa wa Kuota Vinyama Sehemu za Siri (Bawasiri/ Hemorrhoids): Chanzo, Dalili, Tiba na Kinga

    jamani watu tunaumwa,hebu tupunguze mizaha ili madokta watujibu,mi naumwa sana hii sehemu ya haja kubwa toka jana mpaka nakosaha raha
Back
Top Bottom