siku izi ukitaka kuanza biashara yoyote unatakiwa kujiuliza aina ya wateja wako watakuwa ni wapi iyo business yako peleka masaki na kwingine ambapo ni ushuani ila uku kwetu hawatoweza gharama. la pili la kujiuliza jeee biashara yako inaenda kumpunguzia matatizo gani unaayeenda kumuuzia mfano...
Bajaji endesha mwenyewe mfano uku kwetu watu wameajiriwa but daily wanalala na 30000 au 25000 ashatoa pesa ya mwajiri hapo, endesha mwenyewe then weka 30000 daily baada ya kutoa gharama zote za kula na vitu vingine. 30000 mara mwezi ni 900000 na jee tisa mara 12 i mean mwaka ni 10800000, then...
Ahahaaa kaka Duniani kila mtu kaletwa na kibaji sema wote tupo na vipaji tofauti. Kuwa na kibaji pekee haitoshi. Kipaji ni kama mimba mwanamke ili azae anaitaji kuwa mvumlivu kuna vitu atatakiwa asile na asifanye pia atatakiwa kuhudhuria clinic kujua maendeleo ya mimba. Mwisho wa siku atazaa kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.