Tupunguze riba kwenye taasisi za fedha ili watu waliomaliza elimu ya juu au elimu ya veta waweze kuchukua mikopo na kufanya biashara. Kuwe na mazingira mazuri zaidi ya walio maliza shule waweze kujiajiri
Nyumba self contained yenye vyumba vinne vikubwa ipo kwenye kitalu namba 539,Block F, Ubungo maziwa karibu na Mabibo inapangishwa kwa Tsh laki nne (mazungumzo yapo)
Nyumba iko karibu na Kituo kikubwa cha mabasi cha Ubungo, pia karibu mwanzoni mwa kituo cha Treni iendayo mjini.
Kwa mawasiliano...
Kenya walisema hivyohivyo, sioni chochote kipya kinachotokana na mabadiliko ya katiba.Bila mabadiliko ya hulka ya watu juu ya ufisadi katiba mpya ni ghiliba ya kisiasa
Huwa ninapata shida sana nikifikiria kama leo ingekuwa ndio ile vita ya Kagera sijui tungekuwa wapi.Wengi wangekuwa upande wa Iddi Amin na upande wa Ghadafi kwakuwa tu ni dini moja nao na wengine wangenunulika kirahisi na kutoa siri zote za jeshi. Nadhani tunahitaji mabadiliko ya mfumo mzima wa...
Wao wanataka Tanzania kufungua milango watu wao waje kufanya kazi kwetu...wafungue milango ya lazima pia na wa kwetu waende kwao. La sivyo Tanzania kwa sasa ina wataalamu wa kumwaga tu...hatuihitaji expatriates wanaozungumza kiingereza cha kikikuyu hapa
Mengi huwa hashindwi vita...mumtahadharishe pia hasimu wake kuwa naye ajiandae maana anaweza kupotea vilevileUkitaka kupambana na mtu usichimbe kaburi lake tu, chimba na la kwako maana unaweza kupotea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.