Bulombola kambi ya mafunzo,utii,nidhamu,bulombola ya kigomaaa basi lake Saratoga dagaa na mawese yaingia hekooo bulombola 821 kj under care of CI james and I.M.Mketo Co
Na Robert Mpemba Oc wa eagle coy
Jkt raha sana .wapi Chulei Mkaka sir major.
Kampala wanafunzi wote wa hapo 97% wamefeli form six
Na wengine walitemwa na system ya TCU awamu ya kwanza na kuapply kwa pressure ya kukosa chuo wakakimbilia huko mgeenda diploma au cheti au mkawa walimu mnaanza kulaumu mliyoyataka wenyewe tulieni kama hamna vigezo ondokeni acheni lawama kwa...
Huyo jamaa anaishi pale block H first floor! kweli jamaa halina a mani kudadadeki lazima alteza tuitaifishe iwe Mali ya udoso kila raisi awe anatumia na tunawakabidhi Brock R wafuga nguvu pindi serikali inapomaliza mda wake .
John ulaaaniwee na kizazi chako chote
Amina.
Sema na wewe ulikosa mgawo naona povu linakutoka hapo kwenu H mlikuwa na gari? Ungemuumbuwa huko bunge lilipovunjwa siyo kuleta hapa jamvini
Please moods tuondolee Uzi huu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.