Search results

  1. T

    Picha za Wanataarabu wa 5 Stars waliokufa Morogoro!

    mwenyezi mungu awalaze mahali pema peponi amen
  2. T

    First Lady Salma Kikwete

    acheni ongo tuwe wakweli tusisingizie kuhusu `mke wakiongozi wa nchi
  3. T

    Rex-Attorney's Kunyimwa kazi za SERIKALI- January Makamba

    jamaa kina rostam ,lowasa na hao vibaraka kuna january walikubaliana na rex attorney kwamba siri kuhusu power of attorney isitolewe hadharani rex wakawapa wajanja waitoe nd hasira imewapanda now waawamaliza mwenye macho haambiwi aone
  4. T

    Lowassa ni kiona mbali

    kweli mnaomtetea lowasa bado mna akili timamu najaribukuwaza na kuwazia kwani yeye kazaliwa kuwa rais ccm fukuzeni huyu mtu kama hamtaona mabadiliko uande wenu
  5. T

    JK kaacha kishindo Dar?

    kawawashia moto RA na EL na l adawi kahojiwa na vyombo vya usalama je mnataka hivyo
  6. T

    Ngoyai Lowasa ni fundi wa kutafuta upenyo ktk siasa zilizompenya

    huyu lowasa na ra wote ni hatari wamesimika spika wao na mara ghafla kamati za bunge zimekuwa na nguvu kliko hata mawaziri kulikoni au sababu wenyeviti wengi wa kamati za bnge n vibaraka wao
  7. T

    Ungeipenda staili gani......!

    wapi mimi nielekezwe nikatengeneze huo wa tatu ili bia isimwagike:A S 20::clap2:
  8. T

    Walichofanya polisi arusha ni sahihi

    tuwe wa kweli chadema ni chama makini lakini kwa hili walikosea maana kama wangeweza kuingia kituoni wangechukua silaha arusha pasingekalika maana wenye vurugu kama hizo wezi wenye nia na kuiba silaha wasingekosekana
  9. T

    Membe awavaa wanasiasa, wafanyabiashara

    anachosema ni kweli kabisa rostam na magazeti yake wana kazi ya kuwachafua watu wote wanaowahisi kwamba wanataka urais,hivi rostam na kundi lake wakipata huo urais si watatuuza mpaka raia wao. Maana hawa kina membe rostam jk sita lowasa na wengineo ndiyo walikuwa wana mtandao sasa interest...
  10. T

    Njia za kufuata ili kuachana na unywaji wa Pombe na Ulevi uliopitiliza

    du kazi kazi kwelikweli mpaka uvunjiwe yai bichi utaacha mwenyewe
  11. T

    Ndege yaanguka mwanza airport

    tuwe serious je kuna mtu atujulishe kuhusu habari hiyo pili nimepata taarifa mataka karudi tena atcl kulikoni wakati nilipata taarifa nafasi yake imechukuliwa na mtu anaitwa wiliam haji kulikoni mwenye taarifa atujulishe, niliambiwa wiliam alikuwa amelimudu shirika
  12. T

    Elections 2010 Wanajamii forum je mnafahamu kuwa rais bora atatoka ccm?

    du mwandishi una weledi mkubwa ni kweli jf ni chama cha siasa ukimpinga slaa rais wao ujue utatukanwa na kukashifiwa
  13. T

    Alex Ndeki (mzungu wetu) tumkumbuke

    kwa kweli nimekumbuka mbali jamani longer wapi siku hizi na ndgugu yetu mkingule nasikia ni kanali wa jeshi makao makuu, longer yuko nmb dsm, maskini thomas ndulute alifariki kama miaka mitatu iliyopit ,nimecheka sana kuhusu hassan musa alianza ufisadi na mwalimu wa usafiri kutulangua tiketi za...
  14. T

    Mengi adai Polisi wahusika kutaka kumbambikizia mwanae madawa!

    kwa mawazo yangu pungufu hii habari siyo ya kweli mengi ni kawaida yake kutumia combo chake kuwamaliza wengine ,huyu mzee ni mtu mwema nusu mtu mbaya nusu manake usipokubaliana na matakwa yake anakumaliza
  15. T

    Yu wapi capt. Komba wa TOT jamani?

    yupo jimboni anatafuta kura baada ya kumwibia aex shauri kura zake,manake alibwagwa na jamaa kwenye maoni mpaka akapata presha akiwa mbamba bay,ana timu nzuri ya wezi wa kura chadema muwe macho jamaa ni balaa kwa uchakachuaji
  16. T

    Kwa nini agakhan hospital mnangngania operation??dk shaffii una deal gani na operatio

    yani hata mimi nawashangaa sana hawa ma doct wa aghakhan,tena usipokuwa makini unaweza ukafia pale,hata ukizaa kawaida hawako serius na kazi zao,nina rafiki yangu alijifungua hapo kipindi cha nyuma kama miezi mitatu imepita wakaacha kumsafisha vizuri basi weeeeeeeeee ilikuwa ni mungu tu maana...
  17. T

    Elections 2010 Dr Slaa ndani ya Ifakara leo

    haya haya wadau wa iringa kazi kwenu
Back
Top Bottom