Sipendi sana kutumia jukwaa hili la Jamii forum kuzungumzia mambo ya kisiasa maana mimi si mtu wa siasa. Lakini huu si wakati wa kawaida. Wakati Bunge Maalum la katiba linaendelea mustakabali wa Taifa letu upo mikononi mwa waheshimiwa wa Bunge hili, hasa wanachama wa CCM maana wao ndio walio...
Hilo nalo janga. Yeye watu wake wananyofolewa kucha na kumwagiwa tindikali waandishi wanauliwa mchana kweupe lakini yeye kimya. Maliza matatizo yako kwanza ya ndani. Hii yote anataka tusimwulize mbona safari zako hazina tija kwa taifa???? shopping tu!!! Kagame alikwambia unyamaze lakini...
hivi bwana lukosi unaona watu hawana akili? ilo gari mbona hutoi namba zake tuzione ama ndio umeambiwa kwamba utapata tenda kwa kuonyesha kwamba polisiccm wanafanya kazi watakapokuja na hadithi kwamba tumeweza kulikamata gari hapa bongo wkt wanaua watu wewe unafurahi tu kwa ujinga wako. Hiyo...
Kwa nini mnamwita mama?? huyu si mama ni mwanamke asiye na utu. Je, ameolewa na je ana mtoto? ndio sababu kubwa ya kuwa na roho mbaya. Kwanza hana communication skills iwe lugha ya kiswahili, kingereza hata neno moja hajui akienda mataifa ya wenzetu yeye kila kitu anacheka tu. Nilishangaa...
Some people think that there's no need to learn any more when yo have taken your exams and are in a well-paid job, but the human brain has a desire to learn. And life feels much more fulfilling when you keep learning.
Hivi rais amejisikiaje kuwaona hao watoto wa shule walivyovaa? na hao pengine ndio wana unafuu kidogo. Mhh nchi yetu!!! Hii picha ya watoto na yule babu imenifanya niwaze sana. CCM kweli hayo ndio maendeleo? Nasikia Bagamoyo ndio kabisa!!
ast
Kamwulize FastJet na mwanae Riz1. Hivi kwa nini mnapoteza muda wenu kuuliza maswali kama haya? Lini mikataba ya ufisadi ikawekwa wazi? Unakumbuka Karamagi alisema mikataba yake aliweka kidole hotelini nchini Uingereza kwa nini kwa sababu yule mama wa madili Maajar alikuwa balozi wetu hapo...
Lukosi usijidanganye. Madawa ya kulevya ni biashara mbaya sana. Na kama unadhania utapata pesha kwa kutoza kwenye MOT ni ujinga. Kwa nini nije kwenye kampuni uchwara wakati najua gerages kibao zinatoa MOTs za uhakika na gari lako linakuwa salama kuliko nyinyi mnaoendekeza njaa. Be careful my...
Ndio kawaida ndugu yangu. Kama ni mvaa suti unapashwa ufanye hivyo. Hutakiwi kukifunga. lla nimeshangaa sana wabongo wengi wanaacha label kwenye koti hiyo haitakiwi. Hapa ulaya ukinunua suit kwenye maduka ya designers kabla hujatoka dukani label wanaitoa ila watu wengine utasikia usiitoe...
Kikwete kumweka waziri wa sasa wa biashara na viwanda alijua ndio maana alipewa dollar 50000 akakaa kimya ili UK waendelee kupata pesa ya bure. Alichokifanya Mwakyembe ni kumwonyesha kwamba anajua kila kitu Kigoda. mambo yatajulikana umeona yalotekea Ufaransa raisi hakuna wa kumpokea. BA na BP...
Nimepata kigugumizi leo baada ya kumwona rais wa tz anapokewa na mke wab rais wa mali ambapo kuna machafuko hii inamaanisha kwamba watu wametuchoka. Sioni umuhimu wa kwenda France ama Swiss maana watu watatafisiri mvinginevyo!! Hivi rais wetu hana wa kumshauri??? aibu sana. Hata balozi wetu...
Muda mfupi nilisema Werema anasema maneno bila ya kufikiri sasa ona jamaa tayari anaenda Swiss ambako jamaa amemwambia balozi wake eti ni mdogo kwake. Unaenda nchi za watu unapokelewa na mtu mdogo maana Rais wao yuko busy na mambo ya maana sio hao waendao kwa ajili ya kuombaomba na kufanya shopping.
This silly!!!! Kesho utaona mkuru anapanda ndege na bakuru kwenda kuomba. Nadhani Werema kichwa chake kina tatizo. Badala ya kumwomba balozi awasaidie maana aliwapa njia kidogo sasa yeye anakuja na vitisho kama yuko jeshini.
Ndilo baraza la mawaziri tulionao Mulugo aka Amim, Werema, Naughty...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.