Pole sana. Mimi pia hilo tatizo ninalo. Nikinyowa ndevu kwa nyembe au kwa mashine bado mavipele yanatokea. Mpaka nikasema sasa hizi ndevu niziuze lakini haikuwezekana.
Kaka ngozi zetu sisi wengine nizafanana na chuma cha pua, tumia mafuta ya chuma kupaka maeneo hayo mara 2 kwa siku. Muda wa...
Uamuzi Wa Pro. Lipumba Uheshimiwe. Hoja Yangu Hapa Ni Objective Na Siyo Subjective.
Mosi, Lipumba Alikuwa Mhimili Mkuu Wa C U F. Kujiweka Nje Ya Uongozi Ni Kuiweka C U F Nje Ya Siasa Za Upinzani Na UKAWA.
Pili, Sioni Kama UKAWA Una Uhai Kuelekea Uchaguzi Mkuu.
Tatu, Mfarakano Wa UKAWA Haupo...
Uamuzi Wa Pro. Lipumba Uheshimiwe. Hoja Yangu Hapa Ni Objective Na Siyo Subjective.
Mosi, Lipumba Alikuwa Mhimili Mkuu Wa C U F. Kujiweka Nje Ya Uongozi Ni Kuiweka C U F Nje Ya Siasa Za Upinzani Na UKAWA.
Pili, Sioni Kama UKAWA Una Uhai Kuelekea Uchaguzi Mkuu.
Tatu, Mfarakano Wa UKAWA Haupo...
Habari Njema!
Hassan Elias Masala, DC Wa Kibondo Amefanikiwa Kumdondosha Mbunge Alikawa Anatetea Nafasi Yake Ya Ubunge. Si Mwingine Bali Ni Waziri Wa Mambo Ya Ndani Ndugu Mathias Chikawe.
Upepo Wa Kukataliwa Kwa Chikawe Ulianza Mara 2008, Alipoleta Sanda Za Kuzikia, Ktk Uchaguzi Wa C C M...
Hakika Kwa Hali Ilivyo Na Mahali Nchi Ilipo, Sioni Mwanga Mbeleni Badala Yake Nakiona Kiza Kinend Giza Nene Limetanda Linaendelea Kutanda.
Sina Imani Na Sioni Huku Kwangu C C M Wa Kuipeleka Kuleeee Tanzania. Nyie Wenzangu Mwaonaje?
Nianze Kwa Kuwapa Pole Waathirika Wa Tukio Hilo La Moto Kuunguza Sokokuu La Mkuti-Masasi.
Pili, Nitoe Rahi Kwa Watanzania. Umefika Wakati Shirika La Umeme (tanesco) Liwajibishwe Kama Kweli Itathibitika Chanzo Cha Moto Huo Kuwa Ni Umeme.
Tatu, Serikali Ijifunze Kuweka Utaratibu Wa Ku-intervine...
Sheria Ifuate Mkondo Wake Lakini Wakati Mwingine Haki Hupatikana Kwa Kuvunja Sheria Kandamizi. Yule Kijana Kauwawa, Polic Hana Kesi. Leo Tena Kanisa Lalipuliwa, Bado Baraka Obama Ni Kama Haoni. Sasa Ni Muda Muafaka Kumpata Malcon X Na Lutherking Mwingine. Ni Wakati Wa Waafrika Au Waniga Kuwapiga...
Nimeona Comment Zenu!
Mimi Sihitaji Mama Mwenye Pesa, Hizo Ni Zake Tu. Mimi Nahitaji Mama Mwenye Utulivu Kwa Maana Ya Hekima Na Busara Zake. Mwenye Utulivu Ani Pm
Mimi ni mvulana umri wangu ni miaka 30, elimu yangu ni shahada ya uzamili katika elimu, ninaishi mkoani Mtwara.
Nahitaji mchumba mwenye sifa hizi:
1. Kabila lalote lile lakn kwa sasa awe mkazi wa mkoa wa mtwara
2. Awe mwajiriwa
3. Awe na si zaidi ya umri wa miaka 28.
4. Awe muislamu
5...
Kweli Tupu. Watu Waache Kujaji Mambo Juujuu. Watu Wanaongelea Vurugu Za SA Bila Kutazama Mzizi Wenyewe.
Mzizi Wa Mauwaji Ya SA Ni Madiba Kuwaacha Wageni Kumiliki Uchumi Wa Nchi. Nyerere Alitaifisha, Mugabe Aliwanyang'anya.
Huu Si Wakati Wa Kumlahumu Madiba, Ni Zuma Kufanya Mageuzi Ya Uchumi Uwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.