H
Kweli mama etu zumbu.k.u.k.u ulimwengu upo huku. Ye anadhani hati safi ni halmashauri kufanya vizuri??? Hajui kama enzi za JK wakurugenzi walikuwa wanaandaa bahasha nono kwa wakaguzi ili kupata hati safi..na kwa serikali hii kinashindikana nini kwa wakurugenzi kutenga mafungu kwa wakaguzi ili...
Magu alisimamia msimamo kuwa kama kakupa nafasi kisha ukajitia tamaa kugombea nafasi nyingine haupati.
Faustine anajitia kiburi tu..ila 2025 atamkumbuka Magu..pale wajumbe watakapomuambia bila millioni 00 asijisumbue kugombea..
1. Silent Inn - sam nujoma..hata brenda fassie alifanyia perfomance.
2. Makondeko inn - kimara.
3. Ukanda wa Gaza - sinza makaburini.
4. Vatican City hotel - uzuri sinza
5. Maisha Club - Morogoro store masaki
6. Lang'ata - kinondoni makaburini
7. Ambasador hotel( kwa sasa jengo la airtel) pale...
Huyu mama hata wanawake wenzie wanavyomsifia unaona kabisa ya usoni tu.
Wanawake wenzie wanakuambia mama samia hoyee.. wakati nyumbani maji hayatoki, sukari hamna, umeme hakuna, vyakula havishikiki si vitunguu wala nyanya. Na hapa muathirika wa kwanza ni mwanamke mwenyewe.
Sent from my...
Magufuli alikuwa tofauti na hao wote...Magufuli alipenda sana lakini pia alichukia sana.
Magufuli alikuwa mkali sana lakini pia alipenda utani sana.
Alikuwa na misimamo isiyotetereka..kwake yeye rafiki ni yule aliyependa kufanya kazi na kutanguliza mbele maslahi ya nchi..kinyume na hapo hata...
Dah kumbe zile kampeni za ujanja kuchanja ilikuwa sio mapenzi yao clouds, ni biashara tu. Kweli binadamu ni chombo cha biashara. Hatukumuelewa Magu.
Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
Huyo mkewe mwenyewe alipata taarifa baada ya waziri mkuu na katibu mkuu kujua...mwanamke anabaki kuwa mwanamke kwenye mambo mazito..ndio maana unaona Samia ni rais wa mambo mepesi mepesi..safari za ulaya na arabuni, sherehe za kizimkazi, kucheza ikulu na wasanii pamoja na kina mwijaku na kina...
Hata sasa mawasiliano yao yapo hadharani hata yako, ila ikionekana mawasiliano yako ni hatarishi basi utavurugwa tu.
Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.