Search results

  1. D

    Bunge Linapotumia Nguvu Kubwa Kuficha Udhaifu Wake...

    Ziara za kufisha habari ya CAG
  2. D

    Naomba kufahamu kuhusu Vyura wa Kihansi

    Tujikumbushe na jinsi tulivyopigana kuokoa vyura wa kihansi!!
  3. D

    Kutoka Washington, USA: President Magufuli, Stop That Dam

    Wamefanyika study kuhusu huu mradi lakini sisi tunawapinga kwa hoja hafifu za hofu za kisiasa kama mradi huu hautajengwa! Vyura wa kihansi wako wapi leo????
  4. D

    Ushauri kwa Ester Matiko (MB)

    Hizi shule na vyuo vya multiple choice ni taabu sana!!
  5. D

    Benki Kuu (BoT) yazifutia leseni benki kadhaa. Zimo Efatha Bank na Covenant Bank

    huyu crimea ana mapepo!!! Maendeleo bank Plc naona ana shida nayo binafsi!!
  6. D

    Serikali yajibu Hoja za Kivuko cha MV Dar es Salaam na Uuzwaji wa Nyumba Zake

    HII YA KUFUNGIA MWAKA!! HA HA HA HA HA
  7. D

    Kauli za waliokuwa viongozi wa upinzani waliohamia CCM

    WASOMAJI AU WASOMI??
  8. D

    Serikali imeandaa mapendekezo ya kuunganisha mifuko mitano ya hifadhi ya jamii, kuja na fao la wasio na ajira

    unapunguza matumizi kivipi wakati kila mfuko ni taasisi ina bajeti yake na malengo yake kwa wanachama?? si sababu ya msingi hii?? kuna jambo linafichama hapo!! kupunguza matumizi wakati wamejenga majengo lukuki?? kupunguza matumizi wana maana wafanyakazi warudi mtaani?? Tanzania Ngumu sana!
  9. D

    Waziri Kigwangala,siasa za 'mpambano' utaziacha lini? Zimepitwa na wakati. Do it silent!

    Ni waziri lakini anasahau kuwa tumepata hasara hiyo kwa muda mrefu sana bila kusema lolote alipotoka tu anakuja na aibu hii!! tumerogwa na nani?
  10. D

    Kuna mambo mawili Rais kapotoshwa

    Sidhani kama ipo. Ile tu kutamka kuwa watalii waje wachache walipa Kodi ujue hata umuhimu wa kuwa na mabalozi huko ughaibuni shida. Meli kuja chache zinazolipa ujue hata hao wawekezaji wanaangalia cost benefit analysis kati ya nchi na nchi hawezi kuja kwenye nchi yenye kauli Kali kiasi hicho...
  11. D

    Kuna mambo mawili Rais kapotoshwa

    Ndo maana nikasema kazi ipo. Hotuba moja kauli tata tatu au nne.
  12. D

    Kuna mambo mawili Rais kapotoshwa

    Na ile vat ya benki.
  13. D

    Kuna mambo mawili Rais kapotoshwa

    Tuelimishe tuijue hiyo kauli ya kibiashara. Kauli ya rais ni sheria.
  14. D

    Kuna mambo mawili Rais kapotoshwa

    Labda tukuchague ukamueleweshe. Kazi ipo.
  15. D

    Kuna mambo mawili Rais kapotoshwa

    Naweza hujamuelewa mtoa mada
  16. D

    Mzunguko wa hela mtaani umekuwa mdogo, hiyo kodi utakusanya kutoka wapi?

    Na Sukari itashuka hadi chini buku mbili. Maigizo.
Back
Top Bottom