Inashangaza kuwa eti vituo vyote sh 50, 100 na 200 hazipo. Zimeenda wapi?? Au wanataka kutuambia kuwa hiziz silver zinataka kuondoshwa kwenye mzunguko wa BOT?? Wizi wizi wizi.
Siku za hivi karibuni hawa watu wa mabasi yaendayo Kasi(UDART) Wameanza wizi wa wazi wazi. Ukienda kukatq ticket halafu ukatoa hela kubwa zaidi ya gharama ya ticket yako wanakuambia uwaongezee 150 au 200 ndipo upewe change yako. Kama huna itabidi wakusubirishe. Na kama una haraka zako utachukua...
Gazeti la Tanzanite la leo limeanza mashambulizi Rasmi dhidi ya Waziri wa Muungano na Mazingira Mh. January Makamba.
Gazeti hili la Cyprian Musiba linadai January katoweka na Bilioni moja za NSSF.
Nimejiuliza kuwa je baada ya Nape na Mwigulu hii ni zamu ya January??
Naomba kuwasilisha
Anaandika bishop Benson Bagonza
HAPPY BIRTHDAY MWALIMU JKN.
Hayati Baba wa Taifa, leo 13/4/2019 anget imiza miaka 97 ya kuzaliwa. Alizaliwa tarehe ya leo mwaka 1922. Niandike jambo moja kama kumbukizi na kumuenzi.
Mwaka 1985, wakati anastaafu, alihojiwa na chombo kimoja cha habari. Akaulizwa...
HAPPY BIRTHDAY MWALIMU JKN.
Hayati Baba wa Taifa, leo 13/4/2019 angetimiza miaka 97 ya kuzaliwa. Alizaliwa tarehe ya leo mwaka 1922. Niandike jambo moja kama kumbukizi na kumuenzi.
Mwaka 1985, wakati anastaafu, alihojiwa na chombo kimoja cha habari. Akaulizwa ataje jambo moja lililomsikitisha...
Wanabodi nawasalimu.
Nimekaa nikajiuliza kwamba kama Serikali ilikubali kununua nembo ya Benki ya Posta(TPB) kwa TZS Milioni 495 ilikuwaje serikali hiyo hiyo ikakataa ndege yetu kuchorwa Twiga na kupakwa Rangi kwa TZS Milioni 200??
Yaani Bunge letu linatumia nguvu kubwa kupambana na CAG badala...
Kwanza nianze kwa kuwasalimu.
Pili naomba hiki kilio kiwafikie mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Mkurugenzi wa jiji la Mbeya, Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano na waziri wa Fedha na Mpango. Ni kuhusu sisi Wafanyakazi wa YONO AUCTION MART na TARUA hapa Mbeya.
YONO AUCTION MART umeingia kama mkusanyaji wa...
Amani iwe kwenu wadau.
Ninaomba kupitia jukwaa hili nifikishe kilio chetu sisi Wafanyakazi wa hospitali ya Ks kwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mh. Amos Makala.
Naomba kuwasilisha hoja zifuatazo:
1. KUCHELEWESHEWA MISHAHARA: Uongozi wa hospitali ya Ks unatucheleweshea sana mishahara sisi watumishi...
Amani iwe kwenu wadau.
Ninaomba kupitia jukwaa hili nifikishe kilio chetu sisi Wafanyakazi wa hospitali ya Ks kwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mh. Amos Makala.
Naomba kuwasilisha hoja zifuatazo:
1. KUCHELEWESHEWA MISHAHARA: Uongozi wa hospitali ya Ks unatucheleweshea sana mishahara sisi watumishi...
Acha kuota wewe jana NASA walikataliwa sehemu ya hiyo kesi hivyo huko Supreme court NASA hawana mwakilishi ambaye ni active. Labda waende kama observers tu
Am very much glad that eventually Raila Amolo Odinga can't be the president of Kenya. Yaani amedanganywa na akina Orengo ajiondoe kwenye elections na akakubali. What a foolish he is!!! Akadai kuwa ataanzisha NRM kupinga kila kitu cha government na kuwaambia watu wasusie bidhaa za kampuni zilizo...
Wadau Amani kwenu.
Nianze kwa kuwatakia wakenya wote maandalizi mazuri ya Uchaguzi hapo October 26.
Sasa ni wazi kabisa kuwa muungano wa NASA umeshasambaratika. Baada ya Raila kukimbia kushiriki Uchaguzi sioni tena zile press conference za pamoja alizokuwa akifanya huku Kalonzo MUsyoka na...
Wadau Amani kwenu.
Nianze kwa kuwatakia wakenya wote maandalizi mazuri ya Uchaguzi hapo October 26.
Sasa ni wazi kabisa kuwa muungano wa NASA umeshasambaratika. Baada ya Raila kukimbia kushiriki Uchaguzi sioni tena zile press conference za pamoja alizokuwa akifanya huku Kalonzo MUsyoka na...
Yo
You must be really dreaming.
Mnaandamana kwa lipi?? Kwani Supreme court iliwakuta na hatia kiongozi yeyote wa IEBC?? Au nyie siku hizi mnajua kutafsiri sheria kuliko Mahakama??
Hopeless kabisa. Subiri 26/10 ndiyo mtapoteana forever
Wadau kama kawaida yangu nianze kwa kuwasalimu, Assalam Alleikum!!
Bado nazidi kufuatilia siasa za Kenya wakati huu nchi hiyo inapoelekea kwenye Uchaguzi wa marudio.
Niseme tu mapema kuwa Raila Odinga na NASA yake wameshachoka mapema. Na ni dhahiri kuwa ndani ya NASA mtu pekee aliyesalia kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.