Online polling mbali mbali zinaonyesha Lowasa ana 80plus dhidi ya 20plus za magufuli hii inamaana wanaopata taarifa wamekataa kudanganyika. Tar 25 wote tukapige kura tuone tumebaki na asilimia ngapi ya wanaokubali kudanganywa na ccm.
Unaweza kudanganya baadhi ya watu kwa muda lakini huwezi danganya watu wote siku zote. Utajiri na mali ghafi iliyopo tanzania sio sawa na maendeleo yanayoonekana. Tulitakiwa kuwa na barabara za njia sita hadi nane, flyovers, huduma za afya, elimu bora na za uhakika. Ccm imetudanganya kasungura...
Kuna msemo wa werevu flani unasema "unaweza kuwadanganya baadhi ya watu kwa muda lakini huwezi kudanganya watu wote siku zote " werevu hawa wanamaanisha upo mwisho wa kudanganyika. Unaweza kuwa leo unaweza kuwa kesho ila mwisho upo. Ccm wanasema wanategema kura za vijijini inamaana kwa muda...
maboresho yanatakiwa kufanywa na Lowasa anapoongea na hadhira kubwa kama hizi anazokutana nazo akiwa UKAWA. Anaoendanao wanapiga made nae anatakiwa kwenda na kasi ile
Maendeleo yanapatikana kama viongozi wana nia ya dhati. Nia ya ccm ni kuiba na kufilisi watanzania. Hawataki kutoka kwasababu miradi yao yakifedhuli itafika kikomo. Kama unabenefit moja kwa moja kwa ccm kuwa madarakani jua watanzania wamechoka kuibiwa
Watanzania tunataka mabadiliko, ni ukweli uliowazi hatuwezi kuyapata ccm. Nje ya ccm mabadiliko yatapatikani hilo lipo wazi. Vuguvugu la mabadiliko lilianza na Mrema chadema wakafanya kwa nafasi yao Lowasa ameongeza nguvu na matumaini yakuyapata hayo mabadiliko. Swala la fisadi ni dhana ya...
Wote wanatuhuma za ufisadi, hakuna msafi kati yao. Watanzania tunataka mabadiliko ya kimfumo ambayo hatuwezi kuyapata ccm kutokana na dhana ya kulindana ndio maana ED ni bora kuliko JM.
Kuiondoa ccm madarakani sio jambo dogo, watanzania kwa ujumla wetu bila kujali nafasi zetu kwenye utendaji serikalini na nje ya serikali tunapaswa kuungana kumtokomeza Nduli huyu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.