hawa wabunge ni lazima walipe kodi kama sisi watu wa kima cha chini tunavyolipa. Inashangaza kuona wanaotunga sheria hawatekelezi sheria. Hawa watu ni wabinafsi. JAMANI WAANZE KWA KUKATWA KODI katika mapato yao. mbona sisi tunakatwa hadi kwenye hela zetu za likizo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.