Hiyo hatari unaiona peke yako......dream on with your fantasy.......unakuwa unaota ndoto za mchana.....nchi ipo shwari na JK kashinda .....asiyekubali kushindwa sio mshindani.....na SIASA haina DROO au MECHI YA MARUDIANO......imetoka.....
Uchaguzi mkuu unakaribia kwa kasi ya ajabu kwa Watanzania huku kila chama na mwanasiasa akivutia ngoma kwake. Kama ukiwasikia wanasiasa wetu hao kwa umakini basi unaweza ukaamini wanaweza wakaleta mabadiliko makubwa pindi tutakapowapa dhamana ya kutuongoza katika maeneo yetu mbali mbali, iwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.