Sio hiyo tu, kuna swali pia kuwa pale nyololo haukuwa mkutano ulikuwa ni ufunguzi wa ofisi ambao uliwahusisha wanachama wa CDM na wapenzi, likiwa ni kilomiter zaidi ya 100 toka ofisi ya RPC ilimchukua muda gani RPC toka kujua tukio kuwasiliana na OCD kuandaa kikosi na kuwahi eneo la tukio? bomu...
Ungeeleweka kama ingekuwa Rwanda ina bajeti kubwa AM basi tungekaa kujadili kwa maana sio kawaida, vinginevyo nafikiri wewe na ninaamini ni mkenya uko kama wakenya wenzako ambao mnakwenda shule kujifunza kiingereza na sio vinginevyo!
kama ukiangalia kwa ukubwa wa nchi, idadi ya watu nk, Rwanda...
Wadau jamvini, kuna mtu kampigia waifu simu na kumpiga bit at ni mchumba wangu. Alipomuignore, akamtumia message akidai nipo naye na akampa namba yangu anipigie au aniombe nimpeleka, uzuri waifu alijua nipowapi nanilikuwa na wanangu.
nataka kujua ni nani anatumia namba hii iliyotumiwa kusms...
DSN, yaonekana umeanza kumchukia nyerere, kabla hujaielewa habari uloipost. na unaonyesha kuwa hujui ukweli wake lakini, vyovyote uwavyo umeshamchukia!
Huna lolote la maana unaonyesha mlengo hasi na kunauwezekano, msukumo wako sio hiyo issue kuna lingine zaidi.
Mtogwa hadi mkangafu, ukizidisha kidogo unakuwa mdindifu! This order is biochemically organissed as sugar, alcohol, liquor and finally keatone. hii ni kwa wataalamu wa organic chemistry, teh teh teh !
Hoja hapa sio kukurupuka! unajua Lisu alisemanini? au basi kwa vile ameshambulia magamba, basi ni kichwakichwa nawe unamshambulia!
Kwenye hoja yake alizungumza pia suala la idadi ya watu kuwa sio ajenda, inayofuata kwani shy, inawatu wengi kuliko Mby! hoja hapa ni equitable alocation of...
kwanza elewa baraza halitakuwa kubwa kiasi hiki! Pili, waziri atakuwa ni Executive tu bila kuingiliana na legislatures, nchi itakuwa ndani ya utawala wa majimbo, tukiwa na majimbo 8.mashariki (Dar, Moro, Pwani na Tanga), Kusini -Lindi Mtwara na Ruvuma, inyanda za juu kusini-Njombe, Iringa...
WanaJF, hivi kunamwingiliano gani au uhusiano gani kati ya hotuba ya bajeti, Mpango wa miaka 5 maendeleo na ile mkukuta II iliyozinduliwa mwakajana?
Inaonekana wazee wa magamba wameshahau, hata ilani yao inasemaje, tupo wapi na tunaenda wapi?
wadau, kwanini UDSM inalazimisha kusherekea miaka 50, tangu kuanzishwa kwake, ilhali mwaka 1995 chini ya Chancellor wao wa Kwanza JK Nyerere walisherekea miaka 25? are they more right today than in 1995? au ni siasa?
kama 1995 walisherekea miaka 25, miaka 50 ilipaswa kuwa 2020, kwa halisia kuwa...
Duh Tunakazi kubwa mbele yetu! wanasiasa dhaifu? kwa hiyo CCM na Kikwete wao ndo viongozi wenye nguvu? Nyie mna kura 61% mnawaogopaje wenye kura 24%?
Hivi serikali yenye nguvu, imeona kitu muhimu kwa Tanzania katika maisha haya magumu ni sukali na bei yake! Afu serikali inatumia muda wetu na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.