Acha ubabaishaji, katiba unayozungumzia haitoi nafasi kwa mtu ndani ya chama kuwakoromea mawaziri, hiyo ibara ya chama kushika hatamu ilikuwa ni Ibara ya 10 na ilifutwa na sheria namba 4 ya mwaka 1992 baada ya ujio wa multiparty
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.