Najaribu kuvuta kumbukumbu juu ya wale madaktari wa kitanzania waliotakiwa kwenda kufanya kazi Kenya halafu pia nalinganisha na ule usemi kuwa mkuki kwa nguruwe tu...
Fanya maamuzi magumu usisikilize mtu we pita na speed ndogo tu tena usiwapigie kelele inawazingua afterall simba wamefunga ramadhani hii wahi kabla haijaisha.
Ni kweli. Kaka Hamisi, tafuta mwandishi mmoja akusaidie juu ya mtiririko na kiingereza kizuri cha uandishi halafu tutupie hapa tupate ladha mpya.
Hongera lakini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.