Mjinga zaidi ni mume, aliruhusu vipi familia yake kwenda kwenye porpulation kama ile, yaani mke wako anakurupuka tu anaondoka nyumbani na watoto wote eti anawapeleka msibani, unapoutwa kichwa cha familia ni pamoja na kuilinda familia yako, kuhakikisha kila wanapokwenda usalama wao ni 100%
Pamoja na lawama kwa serikali, nadhani watanzania tuna ushamba au ulimbukeni juu ya mambo, dunia kwa sasa ni kama kijiji, kuna matukio tunaweza kuyaangalia tukiwa majumba i mwetu lakini myu mwenye akili timamu anabeba watoto na kuwapeleka kwenye mazingira hatarishi kama yale
Nimejikuta na maswali mengi sana, hasa pale nilipowaza courage ya huyo mama kubeba watoto mpaka uwanja wa taifa, watoto wadogo ambao pengine hata hawawlewi maana ya msiba au maiti, ninewaza pia kuhusu mume ambae amewaruhusu watoto kupelekwa uwanja wa taifa kuaga mwili, watoto ambao bado ni...
Hapa kwetu mpaka nyumba zenye bendera ya ccm na wanajeshi wastaafu wameweka kijiwe cha bia tangu juzi hawalali, sijaua kwa nini lakini tunahitaji sana busara kipindi hiki ili kuponya vidonda na chuki kwenye mioyo ya watu
Mama ana wakati mgumu sana na ni ngumu sana kuvaa viatu vyake, lakini on the other side kuna watu walipitia wakati mgumu kama anaopitia mama kwa sababu ya JPM, think about mama kabendera, wafikirie mamia waliobomolewa nyumba, mfikiria mama Lissu, mama Alphonce mawazo, mke wa ben na azory, mpaka...
Namuonea huruma sana mama Janeth, najaribu kuvaa viatu vyake ila vinapwaya, Mungu amtie nguvu na ampe faraja iliyo kuu, sio jambo rahisi kufiwa na mume
Waache tu waseme, maneno yao hayawezi kubadilisha katiba, inajulikana kwamba Mama Samiah ni Rais wa Tanzania
Msiwe waoga, naona leo wanaume wanalalamika sana mitandaoni, siji mnajisikiaje.
Ni kwa sababu wewe bado mvulana hujawa mwanaume, siku ukiwa mwanaume kamili basi mama na dada wataacha kuingilia maisha yako binafsi especially mahusiono
Jinsi ya kuwa mwanaune kamili ni kuwa na maamuzi na misimamo pamoja na uhakika wa kila unachokifanya
Kauli yako iwe ya mwisho kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.