Asante umesema nilichotaka kusema. Hicho kitabu(Rich Dad Poor Dad) kilinifanya niwe na msimamo wa kuanza kampuni nikiwa tu nimetoka chuo.. sasa ni mwaka wa nne naona fahari ya maamuzi niliyofanya
Nionavyo mimi ni zaisldi ya asilimia 80.. nimejaribu kufanya tathmini ya haraka haraka kwenye mji ninaoishi nyumba zenye vibari hata asilimia 3 hazifiki... nikajisemea wanataka kugeuza miji yote kuwa kifusi
Mkuu ulichoandika kina ukweli, ila kumbuka issue siyo idea tu ya mfumo(software) africa changamoto kubwa siyo kutengeneza hiyo mifumo.. changamoto kubwa iko kwenye soko.. soko bado lina watu wenye uelewa mdogo wa bidhaa zetu sisi software developers. ili utengeneze na upate hela unahitaji...
Tatizo hii mitandao speed zake zinatofautiana kutoka eneo moja kwenda jingine kwa mtandao mmoja huo huo.. so kufananisha lazima useme ni katika eneo gani ulipo.. mfano mimi nilipo halotel hana mpinzani..
Hongera sana mtoa mada!! ingawa naona kuna watu humu wanasema tu bila kuonesha wao wamefanya nini.. wanafanya kazi ya kukatisha tamaa.. Nakupa hongera kwa sababu umethubutu siyo wote wenye moyo kama wako wenye kuweza kukomaa bila mwalimu.... Ushauri wangu: Komaa na hicho unachofanya kwani bado...
tumefanywa madaraja ya watu kupandia harafu tunajinyima wenyewe hadi uwezo wa kuhoji tunabaki kushangilia hadi ujinga ili mradi aliyefanya ni wa chama changu..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.