Tuwekee majina ya wagombea na kambi zao za kisiasa hapo chuoni tujue moja kati ya YUPI ASUKWE N ANI WA KUNYOLEWA. Maana hakuna kulegeza uzi hata uwe uchaguzi wa kiranja wa darasa. Magamba ni ya kutokomezwa popote yalipo.
Hahahaha... Kuna harufu ya gogoro kufurukuta. Ina maana Mwenezi (J.S. Alawy) hamuelewani na mwnykiti (Akatanda). Siasa za bongo full comedy. Chama kimeanzishwa juzi, leo migogoro imeanza kumea. Hahahahaha..
Na mimi nipo hapa Sinza Palestina. Vijana hapa tupo bega kwa bega na mbunge wetu kipenzi J.J. Mnyika. Hata angegombea bosi wako Kikwete hana ubavu wa kumng'oa mbunge wetu. Tunaridhika kwa uchapakaz wake. Viva Mnyika.
Hahahaha... Njaa kareee! Nimefurahi inteligensia ya chama ilivyo makini. Hapo tunasema 'MISSION FAILED'.
Hv Chris Lukosi unakumbuka nilimek appointment kuhusu masuala ya kibiashara kwny mwezi wa 8 ukaniahidi kukutana mwezi wa 9 ambapo ulikuja Tz? Nashukuru ile appointment iliyeyuka coz mtu...
Mpaka sasa Bangata huko Arumeru Magharibi Chadema inaongoza kwa tofauti ya kuru 150, Daraja mbili kwa tofauti ya kura 1240. Atown ni full shangwe, ngome ipo salama. Magamba chaliii
Habari kutoka kwa makamanda wetu Arusha kata ya Daraja 2. Matokeo ya awali Chadema inaongoza kwny nusu ya vituo mpaka sasa. Ntawaletea data kadiri ninavyozipokea kutoka jikoni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.