Duuh Kerege mbali sana!sisi tumehama Sinza tukahamia Madale mwisho!Dah siku za mwanzo kwa kweli nlkua napaona bush bush kweli lakini nimeanza kuzoea!Watu wanajenga sana pia viwanja vipo,panafikika kwa kupitia Wazo hill ukitokea Tegeta kibaoni vilevile unaweza fika Madale mwisho kwa njia ya Goba...
Usista duu na usharobaro umewazidi let them suffer!
I wont forget those late night hussle in COET A1!!
Skuizi wengi wao wanakesha Maison na nextdoor plus kushinda instagram tu!
Hatukatai bata,ile iwe baada ya kazi!acha wakauone mtaa ulivyo sasa!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.