Mii si MBUMBUMBU
Hivi inanishangaza sana kuona Serikali ya Tanzania inavyoagiza Magari ya Kifahari kama Toyota Land Cruiser V8 nchini JAPAN
Gari moja ni zaidi ya TSH 60,000,000/ (MILIONI SITINI)
Utashangaa sehemu fulani hapa nchini, JAPAN imetoa MSAADA wa kuchimba KISIMA CHA MAJI CHA...
Inanishangaza sana kuona jinsi Tanzania ilivyotawaliwa na Umaskini wakati tunamadini karibia aiza zota.
Tani moja (1) ya MADINI YA ALMAS yanaweza kujenga Mkoa wa Shinyanga ukawa kama Cape town ya South Africa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.