Si ushabiki wa kidini, ni kujadili kama mada nyingine, kama vile ushoga unavyosumbua makanisa mengi ya kikristo. Tatizo ni kuwa wengi ni simple minded, hamtaki kushirikisha akili na kujadili hoja, mnakimbilia mambo ya udini.
The allocation mechanism of special seats changed again in 2005. The special seats are now distributed proportionally on the basis of the number of votes won by each party in the parliamentary election, not on the basis of the number of parliamentary seats won by each party.
Only parties that...
NIMEONA WATU WANAULIZIA VITI MAALUMU KWA WANAWAKE HUGAWANYWAJE, KUTOKANA NA HILO NIMEONA NIWAPE ARTICLE ITAKAYOWASAIDIA KUJUA NANI ATAPATA VITI KIASI GANI BAADA YA MATOKEO JUMLA KUTOKA, SOMA HII ARTICLE HAPA CHINI
The allocation mechanism of special seats changed again in 2005. The special...
Sasa naona kuna watu wamekosa cha kusema, acheni chuki binafsi. Dr. Shayo ni mtaalamu aliyebobea, alirejea nchini mwaka jana akapewa usenior lecturer pale Open University, sasa hivi ameondoka na kama sijakosea yupo na international organization moja.
Nadhani tatizo ni mwandishi wa hii habari...
Mi nawajua akina dada, akishafika pale hata kama alikuwa amejiambia hatamegwa, akipewa maneno matamu na akiwekwa kona lazima atalowa na ataachia mchezo. Mimi imewahi nitokea, kuwa nilihisi mdada fulani alikuwa ananipenda, nilivyopata nafasi ya kuwa nae yeye alikuwa nasisitiza kuwa nataka long...
Nafikiri CCM wasiwe na wasiwasi, Tanzania ni yetu wote, hata wakikosa watapata muda wa kukaa pembeni na kuangalia walikosea wapi. Si lazima wao watawale kwa njia yoyote ile. Hawana haki kutoka mbinguni.
Tukubali demokrasia ichukue mkondo wake kwa amani, kama ni chadema sawa, na kama ni CCM...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.