Ulinzi wa mtu na mali zake ni jukumu linaloanzia kwa mtu mwenyewe baadaye jamii na kisha vyombo vya kiserikali.
Jukumu hili ni la msingi kikatiba, na kwa umuhimu wake naona ni vema Tume ya Uchaguzi NEC na ZEC zikawa bega kwa bega na Wananchi katika kuhakikisha wezi wa kura hawapati nafasi ya...
Kama unadhani kumpa siku mkapa ni jambo jema basi mtengee hiyo siku hapo nyumbani kwako.
Sisi usituhusishe kabisaaaa.
Wengine hata kuaga walipigwa pini.
Kwani hao walogeuzia angani walikuwa wanakuja kulima matikiti sio?
Wendawazimu ndio hawajui kuwa msiba wa chenkapa ndio umewagharimu hivyo hata kuhatarisha maisha yao agani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.