Watanzania tuache kulalamika kwa kila jambo jamani hawa watu wamejenga mabondeni na ndo wanasababisha mafuriko kila siku. Na hao matajiri kumbukeni wengi wao sio kwamba wamejenga mabondeni wengi wao ni kwamba kwenye viwanja vyao ni kwamba wakuta wameongeza uwanja so at the end of the day wakuta...
Sikumpa kura Magufuli na kura yangu itaendelea kwenda upinzani. Sio kwa sababu namchukia Magufuli na sio kwa sababu nachukia CCM hii ni kwa sababu bila upinzania kuwa mkali vhama Tawala hujisahau hivyo basi kama mwananchi nitajitahidi kuhakikisha kwamba chama Tawala hakijisahau nitaendelea...
Among the best books ever written for Africa. I wish it becomes part of curriculum in schools to build a generation that will not depend on International aids.
We need more Moyo & less Bono
The bottom line is Twiga waliuzwa nje ya nchi na serikali inayoongozwa na Chama Cha Mapinduzi na serikali haijasema chochote so far juu ya Twiga hao. Wether Twiga ni weupe, weusi, wa kijani haijalishi
Lawyers, Noble Profession. I love being a lawyer. I mostly love the jibby jabbers we use to confuse the rest of the world a two words statement is a two pages expression of drafted by a lawyer
Naomba nakujibu hivi
1.kutolewa bikira has nothing to do na kutoka damu, kutoka damu ni kwa sababu Ya kutojua what you are doing na kingine bikira sio kwamba kuna kamfuko kamejaa damu kwamba unaenda kukatoboa hapana ni sehemu wakuta ni kwamba pamebana zaidi so the rougher you are the more the...
Sikushauri umuoe out of guilty wote mtajutia ndoa. Lea mtoto ila oa ambaye anafurahisha roho yako afterall Kupata mimba NI Shughuli Ya watu 2 yeye kama mwanamke alijikingaje asipate mimba wanawake wengi tumekuwa NA tabia Ya kuwalengesha wanaume kisa twataka olewa wamlazimisha mwanaume akuoe...
Pole ila naomba ku share na wewe Mimi kama mzazi huwa naongeaga ukweli na watoto wangu na wasifichi kitu kabisa na kitu kingine ni kwamba nimewaambia what I expect from them in terms Ya kuvaa kuongea na mambo Mengineyo nimeenda mbele zaidi na kuwapa masharti yangu kama mzazi mfano Kupata mimba...
Sidhani kama Kati yetu huku ndani kuna Mtu alishawahi fikiria kutengeneza nguzo za Umeme za plastic? Au kuzalisha solar energy to the extent Ya kampuni ya huyo ngowi Jamani lets not be haters maana waTZ we are such hater
Forbes hawamaanishi pesa tu wanamaanisha waanzilishi wa kitu tofauti na wameweza kukiendeleza.makampuni yakiyoanzishwa na vijana ni mengi sana na waweza kuta yana mafanikio kuliko hawa waliotajwa ila Forbes wamengalia kwamba Hawa ni waanzilishi wa kitu tofauti na mazingira Yao tukubali kitu kama...
Kumbuka mambo yafuatayo
1.Mungu aliumba kila kionekanacho na kisichoonekana kwa neno kwa hiyo kama alisema neno baya juu yako litatembea na wewe
2.Moyo wa Mtu ukikunjika juu yako jua hatokunenea lolote lililo jema
Ndo maana tunaambiwa Tafuteni sana Kuwa na Amani na kila Mtu
Nimekujibu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.