Waziriiiii.....! Sasa hats organs za wizara hujui? Ndo maana hata mfumo wa elimu uko shaghara baghara! Aibu sana. Harafu huyu ndo anaongoza kuzuia walimu kwenda kujiendeleza vyuo vikuu! This guy is bogus kwa kweli..
Kichefuchefu kabisa! huu ni ugonjwa unaosababishwa na kirusi kinachoitwa uvivu wa kufikiria, kinaambukizwa kwa kukimbia darasani! huu ni mtaji wa miradi ya kisiasa ya kupotosha ukweli na kufaidika na watu wajinga kama huyu shekh uchwara! lkn kama kiongozi yuko hivi na anayowaongoza wakoje...
We mwenyewe unaonekana kahaba, hotel gani unayoisema!? Ndo maana huwezi kujua kila binadamu anakasirika! Mbona mweyekiti wa CCM anaanguka anguka!? Mmewahi kusema hafai! Mtu akileta mambo ya hovyo anafanywa hovyo! Au siyo!
Musyoka smthn went wrong btn his ears! Not only papety but currupty of highest level. I think we should not waste our goldern bites to thread for corrupt and unethical statement from a cheap mind.
I don't remember or even believe he's clever and decent enough to hv a strong poll for Tanzanian's...
Thanks,
Naomba nitoe mapendekezo, tusiishie hapa! Kampeni na ya sisi wote tunapenda mabadiliko! Uwe ofisini,hosipitali,kwenye viombo nya usafiri,maskani mbali mbali, zungumza na kuwajaza watu confidence for change. Kura peke yake haitatosha.zimebaki siku chache.malengo kila mtu ashawishi...
Ni vizuri watanzania wenzangu tukapima mtu kwa vitendo alivyovionyesha! Dr Slaa ni tunu chache katiika ulimwengu wa sasa uliojaa tamaa, ubinafsi, rushwa, na kutokujali wanyonge.
Labda tujikumbushe harakati za Mwl J.K Nyerere katika kutafuta uhuru, watu walithubutu kumuunga mkona bila kusita na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.