kubadilisha course inawezekana ila ungetujulisha umepata course gan na unayotaka kwenda sasa ni ipi na pia kuhusu mkopo inaweza kuleta tatizo kidogo kama umepangiwa course ya miaka3 na unaenda ya miaka4 au miaka5!
ila wadogo zangu wote mliokosa mikopo msikate tamaa jaribuni kuapeal na pia mkifika vyouni mtasaidiwa na viongozi wa serikali ya wanafunzi mpate haki yenu
kaka Ubarikiwe sana Ushauri uliotoa niwa Msingi sana kwa Mtu yeyote anayekwenda chuo chochote sio Udsm peke yake iwe ni Sua,Udom,Saut au chuo chochote kile ni muhimu tuzingatie ushauri huu wa Bure tuliopewa.Hiyo point ya kwanza na ya pili naona zimenivutia zaidi.GRADUATE WITH "A" NOT WITH...
Jamani naombeni msaada wenu laptop yangu ilikua na tatizo la display nilimpelekea fundi lakini amenirudishia ikiwa mbovu zaidi inadisplay msg inayosema UNSUPPORTED WIRELESS NETWORK DEVICE DETECTED. alaf chini yake inaandika SYSTEM HALTED.REMOVE DEVICE AND RESTART. naomba msaada wenu nifanyeje...
Ni miezi mitatu tangu ITV/RADIO ONE watoe matangazo kwamba hawatakuwepo hewani kwa muda mfupi,lakini cha ajabu ni kwamba mpaka sasa hawajarudisha matangazo yao, ajabu zaidi nikua tulikua tunawapata kwenye dish lakini ilifika wakati matangazo yao yakapotea pia.Jambo linalosikitisha nikua...
Naomba Msaada wa code za IDM 605 kwa mtu mwenye nazo,NIlikua natumia trial version lakini muda wake umeisha na nimeipenda sana hii Software,Natanguliza shukrani kwenu wana Jf...
salaam kwenu wakubwa wana JF Naomba msaada wenu nilikua natumia UBUNTU latest version lakini ilinishinda kitu kimoja,kuna mida ukifungua kwenye kuingiza password inagoma alafu inaandika kuna tatizo la GNOME nainakataa kufunguka kabisa imesababisha niFORMAT Machine twice,Sahivi natumia W7,what is...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.