Duh, JF sasa imeingiliwa. Watu wanatetea wafadhili wao utadhani vichwa kavu na hawasikii lolote. "Next" zimekuwa ndio hoja au tuseme ndio mbio na vificho.
Mwanakijiji,
Nimekuwa nikifikiria kuwa michango yako ni ya uzalendo na inajaziishwa na uzalendo. Tafadhali niwezeshe niendelee na fikra hizo hizo, tafadhali andika yale unayoyajuwa kwani kuamini kwako na kutokuamini kwako si muhimu bali cha muhimu ni wewe kutueleza unayoyajuwa, uliyona hakika...
Kwanza heshima zenu wakuu kwa uzalendo mnaoonekana kuwa nao na pia mnavyoonekana kuelewa na kutueleza kazi za Idara ya Usalama wa Taifa na kufikia kutaka RO ajiuzulu kwa kuwa muonavyo ninyi hakutekeleza kazi hizo. Ni vizuri mkatueleza pia kazi za mshororo wa mfumo mzima wa serikali na uongozi wa...
AMINA
Amina ametutoka, kufa ametangulia,
Kama ua amefumba, baada ya kuchanua,
Tunamuombea mwanga, peponi ende ingia,
MSIMAMO ALOWEKA, HAKUNA WAKUCHANGUA
Ila tu neno "vumbika" halihusiani na kuweka vumbi bali hutumika katika utayarishaji wa matunda machanga ili yalike na matumizi yake halisi hayahusiana na vumbi hata kidogo. Kuvumbika tunda kama vile embe ni kuliweka ili liive barabara. Kuiva kwa tunda hakuhusiani na kupikwa tunda hilo bali ni...
Read what the Captain of Flight Tanzania, the President of the United Republic of Tanzania is talking. And we have said, the nervous passengers can cause our flight to crash. What every passenger should do is sit down, relax, enjoy the flight and wait for a happy landing. We will land if we...
Ni kweli watu wanalewa madaraka na sasa imefika kikomo. Hawa maRC ndio wanaotakiwa kuchunga maisha ya Watanzania sio kuyaondowa kwa uchungu wa vitu visivyokuwa na maana.
Hili linanifanya nilikumbuke jambo linaloniumiza kichwa sana ambalo linawachwa liendelee bila kukemewa nalo ni kuua watu...
Mkandara,
Nilikwishasema kuwa hili darasa nimelifunga kwani uchache wako haurekebishiki kwa kuangalia haya unayoandika ambayo nimeyanukuhu hapa. Labda itakusaidia kama utakaa na kutafakari ili ujuwe mtu aliyekufuru huwa anaisabika vipi mbele ya Mwenyezi Mungu na tofauti yake ni nini na huyo...
Mkandara,
Huwezi kunielewa kwasababu hutaki kuelewa kwani sioni unapata ugumu upi kujuwa kukufuru nini wakati nimekueleza kuwa kuna njia tatu kuu ambazo zinamtia mtu kwenye kufuru. Inavyoonekana wewe unabishabisha tu bila ya kuangalia maneno yako au bila ya kuelewa unachoandika. Kwa mfano...
Mswahili,
Ukienda mbali kughorodhesha Nyerere alivyofadhiliwa na Waislamu itaonekana kama unawasimanga hawa ndugu zetu. Mimi nisingependa uende huko, si vizuri. Pia siafikiani nawe kuyaleta majina ya akina Magufuli hapa kwani zaidi ya wao kuwa wakristo si dhani ni mahali pa kuwajadili kwenye...
Mzeeshughuli Bwana,
Nasaha zako safi ndugu yangu. Tatizo ni kuwa unaangalia upande mmoja na mifano yako iko kwenye mshazari huo huo. Ukiongelea Wapalestina inaonekana haikuyumkiini kabisa kuwa Northen Ireland zimepigwa na kulipuliwa mabomu ya kujiuwa kati ya Roman Catholic na Protetants. Pia...
Quarz,
Kwa hiyo uliowaona wanajibishana kwenye mada hii ni Jizaledo na Mswahili tu. Kweli wewe kubwa yao.
Hivi ni wapi niliposema kuwa Nyerere alinionea. Hapa tunajadili ukweli kuhusu Nyerere hatulalamiki kuonewa mtu bali tunajadili hitilafu na ufanisi wa mfumo wa uendeshwaji wa taifa...
Mkandara,
1. Soma dini tena kama wewe kweli ni Muislam ili uielewe na ili ujuwe kuwa wapo waliopewa madaraka kuwaongoza Waislamu hapa duniani na kuna mfumo wa kudhihirisha madaraka hayo katika Mwongozo wa waislam wote na kwenda kinyume na Mwongozo huo ni kuudhalilisha, kuukana na hivyo...
Mkandara,
Ninakutahadharisha tu kuwa ulimi hauna mfupa na hata siku moja simba awezi akawa tembo na tembo akawa simba kwani ulimi wake utamkosowa. Haya machache tu niliyoyanukuhu kutoka kwenye maandishi yako yanaonyesha wazi kuwa wewe si sunni wala muislam kwani ndani ya haya mna lack basic...
Nimekuelewa Mkandara.
Yahaya Hussein hajasema kuwa utaifishaji lilikuwa jambo la udini, yeye amenung'unikia vile BAKWATA ilivyozorota au kuzoroteshwa kusimamia mali za taasisi za Kiislamu zilizovunjwa. Na hili linakufanya mtu ujiulize kama kweli BAKWATA ilikuwa na haki na mgongo wa kuzuwia...
Je na haya ya kutaifishwa mali za taasisi za Kiislam alizozivunja Nyerere nayo yalikuwa na nia gani.
Sheikh Yahya alipua bomu
2006-10-27 19:24:51
Na Mwandishi Wetu, Jijini
Admin,
1. Sasa inaonekana wazi kuwa watu hawalumbani hoja bali hucharuka kukashifu wanabodi wengine directly na indirectly. Kama alivyotahadharisha Nyerere zinazotumiwa sasa ni hoja za nguvu badala ya nguvu za hoja!!!!
2. Vilevile baadhi ya wanabodi wanajenga tabia yakutoka nje ya mada kwa...
Mkandara,
Nimekuelewa na ninakuunga mkno moja kwa moja tuwe tunaangalia mbele na kutaraji viongozi waliopo na wajao waendeleze uchumi mbele. Lakini pia tukubali kuwa kazi hii inataka kasi mpya kwani kwa takwimu ulizotowa nchi yetu imekuwa inadidimia kwenye safu za chini katika kila awamu...
Mchumi Mkandara,
Mzee, wewe hodari sana kuchambuwa matatizo ya uchumi kwa kusisitiza kuwa yalikuwapo tangu "hapo mwanzo". Sasa huu uchumi wako wa rushwa, kuanguka kwa shillingi n.k unavyovieleza "kiuchumi" kuwa vilikuwapo tangu hapo mwanzo kama ulivyoandika awali kama ninavyokukariri hapa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.