Hii ya leo kali kinoma πYaani Nimelala chumbani kwangu eti Asubuhi Inafika, Nimejikuta nipo chumba cha Dada wa kazi...π³
Kweli Dunia Inazunguka!
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Sio kila mwanamke anaekuomba hela ana shida nazo......
mwingine anataka ushindwe kumpa muachane tu.
ππππ
nadhani wanaume tutakua tumeelewana.....
Ukiona umemtext inbox mdada halafu hajakujibu ujue ameangalia DP yako picha amekagua Sana halafu akajisemea kimoyomoyo:-
"Huyu mkaka Mimi hapana kwa kweli!!"!!
jiongeze....
πππππ
Jamani waandishi tuwe makini....
Bibi mmoja amerudi nyumbani na mahindi yake, baada ya kukuta mashineni pameandikwa
TUNAKOBOANA KUSAGANA FAKA
πππππ
Nyie mlionitakia heri na mafanikio katika mwaka mpya wa 2018 napenda kuwajulisha kwamba bado sijafanikiwa na siku ndio kama mnavyoziona zimebaki chache tu mwaka uishe!
kwahiyo mi niwaeleweje?
*Wote MKEO na MCHEPUKO wanapata mimba kwa wakati mmoja, wanajifungua na baada ya kupima DNA hakuna mtoto hata mmoja ambae ni wakwako*
*Hii ndo tunaita "KUPOTEZA NYUMBANI NA UGENINI"*
πππ€πππ€πͺπΎπͺπΎ
SIPENDI UJINGA ISHANIPONZA.
Kwa jinsi lilivyo niponza hili neno silitamki tena. Jana nilijipa kazi ya kufuta vitu visivyo na umuhimu kwenye sm yangu. Huku nikijisifia sipendagi ujinga Mimi. Katika futa futa si nimefuta namba ya bosi wangu. Halafu boss mwenyew wa kike. Mida ya Saa mbili usiku...
Jana nateremka kwenye BASI UBUNGO nataka nichukue TEKSI hadi KIMARA naambiwa sh.20,000/=.
Wakati nipo natafakari hiyo bei, nikasikia "Moro, Moro,Morogoro sh.10,000/="
Nikaamua nipande niende zangu MOROGORO.
Kwenda na kurudi sh.20,000/=.
Wakati wa kurudi nikamwmbia KONDA aniteremshe KIMARA
hapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.