Kwani hakuna hukumu inayotolewaga bila mlalamikaji/mshtakiwa kuwepo..!? then kwanini asikate rufaa? unajua nyinyi mbwembwe,majigambo,kelele nyingi zisizo na mpango, leo sijui eti amekabidhi gari la taka..!? miaka 4 ya uongozi hapo hai alikuwa wapi? imebaki miezi 3 ndio anakuja na gia hiyo...
Kuna tusi lolote umeona? sheria inasema anakosa haki ya kugombea kutokana na uzembe alioufanya sasa wewe sijui na wakiwa wenzio mnatetea upuuzi alioufanya kiongozi wenu, kisa mahaba niue:what:
Ujue unafuata mkumbo rage hakumtishia mtu bastola bali alipanda jukwaani bastola ikiwa inaonekana na wananchi kwenye kampeni, huyo unayemtetea wewe alimpiga mtu makofi sijui upo:what:
Bado miezi mitatu uchaguzi ufanyike, miaka 4 yote alikuwa wapi? eti mfano wa kuigwa, na kupiga wasimamizi wa kura pia ni mfano wa kuigwa? achana na ushabiki wa kipuuzi
We utakuwa umeshachanganya mbege na kiroro wakati unaandika huu uzi, ccm ndio walimtuma hakimu kutoa hukumu? au mbowe alitumwa na chadomo kutenda kosa? au waliokuwa jela wote wamehukumiwa kwa mgongo wa ccm? fikiri kabla ya kuandika upuuzi wako humu jf, eti anakubalika:what:
Usafi wake ni kwako labda anakulisha na kukuvisha, kama ni uongo itajulikana na ukweli hivyohivyo, Richmond, Escrow zilianza tetesi mwisho maji yakamwagika..!!
Yeye huyo profesa j ni mkazi wa Arusha..!? hao waliokuwa hapo shuleni siku hiyo mmoja wapo mm sikuja kwa ajili ya kuwasikiliza ukiwa au chadomo nilikuja kusikiliza j akiimba na baada ya kushuka jukwaani wengi tuliondoka by the way hakukuwa na nyomi kama mnavyojinadi, mtarukaruka sana but ccm...
Mkuu hao jamaa wanahangaika sana na muunganiko wao wanaouita ukiwa, watoto ndio wengi siku hizi si unajua wanazunguka na wanamuziki ili watu wajae na wakiona hakuna watu wanachukua picha za 2010 wanazirusha fb au jf, watalia kuliko siku zote..!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.