Mbatia amefichua marando alimvyodanya marehemu MAMA yake, alivyoiba mali za chama NCCR Mageuzi, alivyokitelekeza Chama , na sasa ni mtetezi na wakili wa mafisadi. Kama wewe ni msomaji mzuri wa gazeti lamajira la Jumapili ya tarehe 26 Sept 2010 utagundua kwamba anachotutaadharisha mbatia ni...
Rugemeleza, yafaa umwogope Mungu, wewe ni sawa na yuda iskarioti kwa nje alikwenda kumbusu Yesu kama rafiki kumbe kwa ndani aliandaa maangamizi na usaliti. Ukitaka mafanio ya Kikwete nenda kasome utelezaji ilani ya Chama cha MAPINDUZI iliyotolewa katika ofisi ya Waziri Mkuu na kuwasilishwa Julai...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.