Hv Bocco anautani na mwenye Bombardier zake huko angani!
Hatuna budi kuwapongeza SSC kwa hatua waliofikia wengi wetu hatukuitarajia.
Naamini uzoefu walioupata utazidi kuwajenga kwa ajili ya kuboresha kikosi na mbinu katika mashindano ya mwakani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba niulize mbali na Professor Assad, hivi kuna kiongozi yoyote aliyeteuliwa na Kikwete ambae bado anahudumu katika nafasi yake katika awamu hii ya JPM?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mh. Rais,
Naomba upokee ushauri wangu na kuuzingatia. Kwakuwa umeamua kutumia lugha yetu adhimu ya kiswahili katika hutuba zako hasa hadhira unayoihutubia wakiwa ni wageni NINAOMBA usichaganye maneno au sentensi ya lugha nyengine za kigeni katikati ya hotuba za kiswahili. Jambo hili binafsi...
Kichekesho wakati tunasajili vitambulisho vya NIDA maafisa uhamiaji walikuwepo na kuzitibitisha fomu zetu inashangaza hawakiamini.
Pili, tulitegemea mfumo wa nida usiishie tu kutoa ID bali uwe ndio mfumo mama wa kulisha taarifa kwa mifumo mengine ya serekali.
Ni aibu mpaka Leo NIDA haisomani...
Kupanda daraja ni jambo moja lakini kubadilishwa mshahara wako wa daraja jipya ni jambo lingine kabisa.
Kwa uzoefu waulize waliopanda madaraja mwaka wa fedha 2015/2016 mpaka Leo wanasaga meno
Mwanaume mwenye uwezo na akawa na mke mmoja ni kukosa uadilifu.
Kilichotekea kwa Adam ndicho anachokitaka mleta mada ili amgande, ampelekeshe na kumpoteza mumewe kama alivyofanywa Adam.
Adam angekuwa na wake wengi ile siku angekuwa kwa mke mwengine yule bibi asingempotosha.
Hadi hv Leo...
Ushauri wangu kwa TFF.
1. Vunjeni mkataba na benchi la ufundi ili muokee hela mnazowalipa mishahara
2. Vunjeni hio timu ili wachezaji warudi kwenye kalabu zao wacheze kwa amani bila ya kuharibu na kupangua pangua ratiba ya ligi
3. Katika mechi dhidi ya Uganda wapeni nafasi wale watoto wa u17...
Kiukweli katiba yetu haukuweka tafsiri ya Jeshi ni nini. Badala yake imejumuisha neno jeshi kwa maana ya Idara zote za ulinzi na usalama zilizopo wakati wa marekebisho ya mwisho ya katiba na zitakazoundwa baadae kwa mujibu wa sheria bila ya kubagua baina ya Idara ya ulinzi na Idara za usalama...
Kweli mkuu.
Kama kuna haja ya masomo ya historia kwa watoto wetu basi waanze kusoma historia kuanzia awamu ya kwanza hadi ya nne. Ili wapate kujadili na kuona mazuri na mabaya tuliyofanya wazee wao na kusababisha taifa letu mpaka leo kuwa maskini.
Kuna mengi tumepitia na yanahitaji watoto wetu...
Kwa uzoefu wangu mdogo wa beach boy naomba nisaidie kidogo.
Ordinary visa ina category tofauti na mgeni akiruhusiwa kuingia nchini huanishwa ruhusa yake ipo kwenye kundi gani la ordinary visa. Kwa maelezo zaidi pitia hii
SINGLE ENTRY VISA (ORDINARY VISA)
This Visa is issued for a single entry...
Siku itakayotekea JWTZ, TISS na POLISI wakawa na maslahi na heshima iliyo sawa NAKUOMBA uniamshe ili niepukane na ubaguzi wa (kipuuzi) ambao naamini ndio ukweli na uhalisia wa mambo yalivyo.
Kwa akili ya kawaida kabisa mm nafananisha (mfano usio rasmi).
JWTZ = Madaktari
TISS = Mainjinia
POLISI(na ndugu zake) = Walimu
Haingii akilini kwa hizo kada
1. Kufanya mafunzo yalio sawa
2. Kupata maslahi sawa
3. Kuwa na hadhi sawa kwa watendaji wake, na
4. Kupata heshima iliyo sawa katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.