Ni dawa gani ya asili au ya hospital inaweza tumika kutibu yatizo la kutoka kitu kama uvimbe njia ya haja kubwa pamoja na kutoka damu sehemu ya haja kubwa .
Habari za jion wana JF wote.... kwanza napenda kuwapa pole kwa uchovu wa wiki nzima.
Swali langu ni kama nilivyoandika hapo juu...
je kuna mtu yeyote ameshawahi sikia au kufahamu kuhusu moja kati ya mashirika haya.
TASE (Tanzania Skills Empowerment) Au
CASE (Canada Skills Empowerment).
Na je...
Mimi sijali utasemaje.... simu niliiangusha na sio kwamba mtu aliniibia...... na niliwachukua askari ninao wafahamu so nia yangu kubwa ilikuwa kuipata simu na sio kumuweka ndani alieiokota maana pia alieiokota amekuja akasema hakuna shida
Nimechukua laptop ya Apple kwa best yangu hapa then tukaingia find my iphone kisha akafungua icloud na ku login kwenye ID yangu... then tukaona last location ya simu ilipo. Then nikaweka na Imei number ya simu pia.... kwa phonw finder nikaiona ilipo so. Nilichofanya ni kuchukua polisi na kuenda...
Habari wapendw. Nipo Tanga mjini mtaa wa Kange nimeangusha simu yangu aina ya iphone 6splus ya silver ina kava la gold jana tarehe 26/01/2018 saa tano asubuh mtaa wa kange kasera. Ipo na icloud protection na tumejaribu ku track ila mpaka muda bado imezimwa hivyo Kama kuna yeyote aliyeiokota...
Habari wapendwa nipo Tanga mjini mtaa wa kange nimeangusha simu yangu aina ya iphone 6splus ya silver ina kava la gold jana tarehe 26/01/2018 saa tano asubuhi mtaa wa kange kasera.
Ipo na icloud protection na tumejaribu ku track ila mpaka muda bado imezimwa hivyo Kama kuna yeyote aliyeiokota...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.