Kweli kabisa mkuu umesema kweli, leo hii pia tunaona kazi hiyo ikiendelezwa na vijana wengine kule oysterbay kama sikosei. Kumbe muasisi wake ndo huyu said, je bado yupo?. Mi pia napenda kujifunza kazi hizi za mikono, je naweza jifunzia wapi mkuu??
Kutokana na kelele ambazo tumezizoea hasa si tunaokaa uswahilini tanzania, hii sheria haiwezi kuwa implemented, labda maeneo kama oysterbay, mikocheni. Lkn yafaa itumike kwenye nyumba za kupanga itafaa.
Nimekuwa nikajiuliza kuna siri gani kutumika hawa washehereshaji kwa watia nia. Kwa Edo alikuwepo Kibonde, jana kwa Sumaye alikuwepo kubenea n.k n.k. Naomba mnijuze au nyie mnaona hili limekaaje, thanks.
Lkn walikuwa wapi kulidhibiti hawa jamaa??,nasikia sasa limekuwa na manyoya mwili mzima na limeota pembe kama za nyati!!, hata ukiwa umejificha ukiliongelea lina pata taarifa na linatoa mrejesho hapo hapo.
Ni vizuri, lkn mkihama humo nendeni mkajenge nyumba nyingine na muipe jina jingine na rangi nyingine. Kisa Msali na kuomba toba nyingine na mbadilishe aina ya ufugaji uwe ufugaji mwingine kama wa north Korea au China, fateni ushauri huu msifate mwingine.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.