Katika siku za karibuni ccm imekuwa ikilaumiwa kutumia wasanii kuvutia watu wahudhurie mikutano yao. Kwa mtazamo wangu hata vitabu vya mungu vinasema siku ya mwisho kabla ya watu kukusanyika kutapigwa parapanda (mziki huo). Kwa hiyo ccm wamatumia njia sahihi kuvuta watu. Himo hata kwenye maandiko.
Mh ndugu yangu ongea kwa taadhari. Pengo naye darasa LA saba. Tatizo hamtaki kusema ukweli,ni mfumo kristo ndiyo hautaki Serikali tatu.ndiyo maana chadema kama chama kipo kimya.
Kweli jana Tundu Lisu alishikwa pabaya mpaka akaomba kesi iendeshwe kwa kiswahili.Chezea msomi Sando, kapiga yai tundu lisu akawa anaona nyota tu.Jana niliamini kweli Lugha ya majahazi ni wito.
katika sehemu ya sita, Masharti ya Mpito ya rasimu ya katiba, Inasema kutakuwa na muda wa mpito utakaoisha tarehe 31/12/2018.Katika muda huo kutafanyika maandalizi muhimu ya utekelezaji wa katiba mpya.
Na katika hotuba yake aliyoitoa wakati wa kupokea Rasimu hiyo, Rais Kikwete alisema...
Sijawahi kumsikia mbowe wala Padri Slaa kuzungumzia mpira.Hii inaonyesha zitto ana uelewa mpana wa mambo mengi.Siyo kashfa za ufisadi.Ni hili la uelewa mpana wa mabo mengi ndiyo sifa ya kiongozi bora
Ndugu yangu mjengwa tatizo la nchi hii ni unafiki.Hawezi kupewa shinikizo lolote kwa sababu ya mfumo kristo.pole sana mjengwa hapo kama unatwanga maji kwenye kinu.
Mjengwa nimekuelewa sana.Nchi nyingi Afrika zenye mali asili kubwa huwa zinakuwa na vita mfano Kongo wao wana dhahabu,shaba,almasi,uranium etc, Angola Mafuta, sudan mafuta, Libya mafuta.Mabwana wakubwa wa dunia kama Marekani na nchi zingine za ulaya ndiyo wachochezi wakubwa wa mifarakano Afrika...
Hii si mitambo iliyokuwa inaitwa "Dowans".Tuliambiwa mitambo mibovu wakati inamilikiwa na muislam.Sasa inamilikiwa na wakristo symbion mitambo safi na humu kwenye jamvi kimya.Kweli mfumo kristo mbaya sana hata huwe umesoma hadi PHd unakutia upofu.
Kweli chuki mbaya.Hawa watu wa takukuru wameuana wenyewe kwa wenyewe kwenye pombe zao sasa mlitaka usalama wa taifa ukataze watu kunywa pombe.Mfumo kristo unawapunguzia watu uwezo wa kufikiri.Magufuli kaenda kwa Laila kenya kelele.Sasa mbowe kaenda kimyaaa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.