Search results

  1. K

    Miezi 9 iliyopita tuliambiwa Dr Dau aliacha Mfupa NSSF, sasa hivi ina Trilioni 7!!

    HALI YA SEKTA YA HIFADHI YA JAMII TANZANIA BADO IMARA Utangulizi Jukumu la Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii ni kusimamia Sekta ya Hifadhi ya Jamii. Ili kutimiza azma hiyo kifungu 135 cha Sheria Na. 5 ya mwaka 2012 kinaipa Mamlaka jukumu la kufanya Tathimini kila...
  2. K

    Miezi 9 iliyopita tuliambiwa Dr Dau aliacha Mfupa NSSF, sasa hivi ina Trilioni 7!!

    Watu wanapotosha na kuficha ukweli. The report is clear. NSSF mpaka 2085. Waambie wasome the actual report ya SSRA siyo kufuata headline ya Gazeti
  3. K

    Sheikh Khalifa ammwagia data zaidi Rais Magufuli za wasomi waislamu

    Sheikh Khalifa Khamis ameendelea kuibua na kujibu hoja mbalimbali katika makala yake katika gazeti la Mizani katika muendelezo wa makala zake kuhusu manun’guniko ya waislamu kutengwa katika teuzi mbalimbali katika seriali ya JPM. Akijibu baadhi ya hoja hizo, amesema kuna watu wanadai mbona...
  4. K

    Sheikh Khalifa aijibu JamiiForums, asema UKWELI sio UCHOCHEZI

    Katika gazeti lake la juzi Ijumaa,Sheikh Khalifa Khamis alijibu tuhuma zilizoelekezwa kwae kuwa ni mchochezi kufuatia andiko lake kuhusu malalamiko ya kutenga katika teuzi za Mh Rais kuadhimisha mwaka wake mmoja tangu aingie madarakani. Sheikh anadai kuwa kuna tofauti kati ya ukweli na...
  5. K

    Zanzibar wapata Mawaziri wengi kuliko Bara Wizara nyeti za Muungano, Kwanini?

    Mtoa mada unaongea kinyume chake. Zanzibar imetoa mawaziri wachache sana ulilinganisha na mabaraza ya Mwinyi, Mkapa na Kikwete. Mawaziri ni wawili tu hapo nao ni Mwinyi na Mbawara huyo Masauni ni naibu waziri. Kwa hesabu ya kawaida tu 2 huwezi kuita "wengi" labda ulimaanisha wachache. Kajipange...
  6. K

    Viongozi wakuu wote kitaifa wanatokea kila kanda, Hongera Magufuli

    6. Kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni - Kanda ya kaskazini
  7. K

    Utaifa kwanza, Simba baadae: Kesho naishabikia Yanga!

    Badilika peke yako Kandambili mkubwa we!
  8. K

    Philemon Ndesamburo: Nitatumia Kiinua Mgongo kuhakikisha Jimbo Kubaki CHADEMA

    Mtu anasema waziwazi atatumia zaidi ya 200+ kuhakikisha jimbo linabaki halafu mnashangilia! Ndio mnajipambanua kama "wapiganaji" kweli tuna safari ndefu kupata viongozi waadilifu
  9. K

    Lowassa aikana Richmond, asema alijiuzulu kwa heshima ya serikali na chama chake!

    Umelipwa kiasi gani? Msimu wenu huu....
  10. K

    Askari wawili wa wanyama pori wauawa Runzewe

    Mkuu umetisha! "siraha" "urizi" kumbe kiswahili kazi
  11. K

    Mtoa rushwa yuko mtaani, mpokea rushwa kapandishwa kizimbani

    watu tunazunguka bure aliepitisha IPTL wajenge kunduchi ni waziri mkuu mstafu sumayi mwaka 1976 kulikuwa na ukame mabwawa ya kufua umeme yalishindwa kuzalisha umeme mwaka 1977iptl wakaanza ujenzi na mwaka 1978 ikaja elnino kwa maana hiyo alieruhusu hiyo iptl ni sumayi kama waziri mkuu miaka hiyo...
  12. K

    Kwa mara nyingine Waislam kutumika tena kama mtaji wa CCM 2015

    Ili kuwe na Ukawa lazima mgombea awe Padri au mkristo kinyume chake hakuna Ukawa. Bado mnadhani mtaendelea kuwa hadaa waislam kwa uongo wa mchana kweupe. Kwenye Mahakama ya Kadhi Ukawa wa kikristo hautaki kwenye mgombea Padri poa
  13. K

    Uvumi na uongo unao enezwa kuhusu Tibaijuka

    Hata mkitumia Jiki huyu Mama hasafishiki. Kigugumizi na makengeza ya nini Mama kakiuka maadili ya kazi ya umma huwezi kuingiziwa 1.6bn mtumishi wa serikali bila kuzi declare sehemu husika. Kama utetezi ni za shule zingeingizwa a/c ya shule acheni mapenzi ya kijinga. Kafananisha na Askofu Kilaini...
  14. K

    Fainali kombe la Mapinduzi, Simba zaidi ya uijuavyo

    Simba! Simba! Simba!
  15. K

    Why Mr Lowassa is Good leader

    If Lowassa is good leader then the word good has lost its meaning!
  16. K

    Ndege za Jeshi la Tanzania zilizobakia

    Naona unafukuzia tenda ya kutuletea madege mabovu. All the best
  17. K

    Reli ya kuunganisha bandari ya Bagamoyo na TAZARA na Reli ya kati

    Sahihi kabisa! Mwakyembe: Be keen on railway line gauge Tuesday, 28 August 2012 22:40 By Alex Bitekeye The Citizen Reporter Dar es Salaam. In a bid to make it more productive, the Railway Transport Advisory Committee (RTAC) has been...
Back
Top Bottom