Mbona sasa mmegeuka mamluki wenyewe kwa wenyewe.Sasa hivi viongozi wenu ni makada wa CCM kutwa wanalamba asali.Yaani CCM ihangaike kuiua Chadema???? Lichama mnalikata shoka wenyewe kwa ulafi wa asali
Yaani mnalea watoto trgemezi, baba akiwa mkurugenzi basi familia nzima ni wakurugenzi.Hongera sana Magufuli alilea watoto kwa mentality ya kujitegemea.Ndiyo maana Mzee akaja na slogan ya Hapa KAZI TU
Kwani wewe ndiyo unapanga mafanikio ya familia ya Magu kwa taarifa yako watoto wa Magufuli ni vichwa Ndiyo maana siyo chawa.Chezea msukuma wewe, hawajikombi kwa mtu.Wale ni wafugaji na wakulima hawana shida.Watoto wa Magufuli wanalamba asali ya kutokana na ufugaji wao, siyo wengine kutwa nzima...
Rudia kusikiliza hotuba ya Mbowe alipotoka gerezani, alikiri kwamba 3/4 ya wabunge wa chadema 2015 walitoka kanza ya ziwa, na waliongoza 1/3 ya halmashauri zote za kanda ya ziwa. Ngome ya ccm?????? acha basi ulongo
Uongo wa mchana wewe hauko kanda ya ziwa, kanda ya ziwa ni eneo la machimbo ya dhahabu na almasi, wachimbaji walikuwa wanafukuzwa kama sio watanzania, walikuwa hawajui pa kuuza dhahabu wanapoipata, ilikuwa dhuruma, kuja kwa masoko kila mmoja anauza kwa muda wake, MADIGALA hawana tena nafasi...
Mbona hata Van Nestroy aliwahi kuja, mchezaji wa Liverpool alikuja mwaka jana hadi akaonana na rais Mwinyi. Serengeti inajitangaza kila mwaka kupitia wapiga kura wanaopigia vivutio bora duniani tangu 2014
Wadanganye wasiofuatilia mambo ya kidunia
Sababu ni kwamba wengi wao ni watoto wetu. Esther Bulaya, Esther Matiko wote kutoka mkoa wa Mara, Salome Makamba kutoka Shinyanga. Taja wengine toka Kanda ya Ziwa
Wanaharakati uchwara hoi.Samaki aina ya sato, sangara na Kamongo na pia dagaa aina ya furu hazijawahi kufeli kuimarisha ubongo wa wana Kanda ya ziwa.Mahongera ndugu Ng' wanaHose
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.