Lowasa anahusika VP na MTU kubadilisha kituo cha kazi kupata maslahi zaidi.kama dau la Tanzania daima ni nzuri kwanini usiende.mambo ya ukabila sio fresh.
Kalasinga mmoja alinifurahisha sana moshi alifungwa pale mbele ya NBC roundabout aliwaomba nimeshuka na hela nyingi nipaki mbali ili niporwe wakadinda wanataka fiu,akapiga simu garage likaja gari na cilinder za gas akakata chuma vipande,tulishangilia utadhani giroud kafunga
Mi naishi njia panda HIMO na sio mchanaga ila jamaa tuwape salute.zinazokata kushoro (machame,KIBOSHO,uru,old moshi)ni noma.Julia(kilema,marangu,mwika,rombo,)ni noma zaidi.big up chanagaz
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.