Naomba kufahamu mtu ambaye ana cv ya huyu katibu wa CHADEMA Mkoa wa Kinondoni na kanda maalum ya Dar es salaam.Jamaa anapenda kumuiga sauti Godbless Lema mbunge wa Arusha mjini .
Habari za asubuhi wadau
Kuna msichana ambaye ni rafiki yangu wa karibu ameniomba nimtoe out leo maeneo ya ufukwe na mimi sehemu nilizozoea ni white sand hotel , jangwani sea breeze na kunduchi wet'n world .Naomba experience yenu wadau ya ufukwe mpya ambapo naweza kumpeleka na hiyo sehemu kuwe...
Wadau naomba mtu mwenye kujua sehemu nzuri ambayo mtu unaweza kutoka out na ukafurahi na rafiki zako. Binafsi mimi napendelea kutembelea sehemu ambayo naweza kuogelea katika swimming pool alafu baadaye nikaenda kuogelea baharini mfano ni jangwani sea breeze napendelea kwenda pale. Kwa hiyo...
Ilikuwa mida ya jana pale jamaa yangu aliponipigia simu nimsindikize akaonane msichana mmoja aliyekutana naye pale Girrafe hotel ambapo jamaa alichukua namba ya huyo msichana wakawa wanachat kama kawaida. Sasa jana ndiyo ilikuwa first date ya kukutana na huyo msichana basi kama kawaida jamaa...
Basi ilikuwa katikati ya mwezi wa kumi na mbili mwaka jana pale kijana nilipoamua kutembelea maeneo ya jangwani sea breeze nikiwa na wenzangu kama wawili .Wakati nikiendelea kupata starehe ghafla macho yangu yakakutana na Mrembo mmoja basi naye akatabasamu mimi sikuonyesha interest ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.