Sina shaka wengi wetu tumeanza kuona dalili za serikali kuanza kuamka kutoka usingizini. Kwanza ilianza na kuwaweka mawaziri wachapakazi kwenye wizara muhimu k.m. Magufuri, Mwekyembe n.k. Mtakumbuka kuwa awamu ya kwanza magufuri aliwekwa wizara ya kitoeo. Pia huko nyuma Rais kwa kujiamini kabisa...
Kwa ajili ya maendeleo ya nchi yetu na watu wake mimi nadhani ina manufaa zaidi kwa waislamu kuitaka serikali iwasomeshe waisilamu zaidi kuliko kuomba mahakama ya kadhi. Vilevile ni vizuri waislamu waliosoma wakatumia vipaji vyao kuwasaidia waislamu wengine kusoma zaidi. Kwa maoni yangu ni...
Wana jamii forum nimekuwa nijiuliza maswali yafuatayo na mstakabali mzima wa maendeleo yetu ya nchi. Ukweli ni kwamba kama mashirika ya umma yana ufisadi mkubwa kiasi hiki uchumi wa nchi unaangamia sana.
Kama TANESCO ambayo madudu yake ni rahisi kuonekana kwa vile madudu yake yanaleta mgao...
Mtakubalina nami kwamba bodi ya wakurugenzi ina mchango mkubwa sana kwenye uendeshaji wa shirika lolote lile pamoja na mashirika yetu ya umma. Ukiangalia mashirika yote yanayofanya vizuri yana bodi zenye ujuzi.
Mtu mmoja aliniambia Air Rwanda board chairman wake alikuwa Mwendeshaji mkuu wa...
Baada ya uchaguzi Mkuu naamini kitu muhimu kinachotakiwa kufanywa na Watanzania ni kudai katiba mpya bila kujali nani ameshinda. Itakuwa ni ndoto kushindana na Kenya kimaendeleo na KATIBA ambayo haituhakikishii ,matumizi Dora ya rasilimali za umaa na uwajibikaji.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.